TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Nasikia alikuwa anasolve kalikulasi kwa kichwa!Yule mzee bhana acha tu.....halaf hatoi handout
===
Huu uzi si wakutelekezwa.
Nasikia alikuwa anasolve kalikulasi kwa kichwa!Yule mzee bhana acha tu.....halaf hatoi handout
Alihamia Mbeya campus..Hivi January bado yuko Mzumbe ?
Aisee nilionana naye bwana...Alihamia Mbeya campus..
Ni njema kwako😊Aisee nilionana naye bwana...
Itandala alikua anajua ila yupo strictly sana kwenye marking.Rest in PeaceDr itandala,udsm-rip,mzee wa peopling of Africa-history hiyo,anatoa swali,mnaanguka ma points kumbe ngoma ina points 2tu,na hamna Alie wahi ziona,mweh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekufa huyu jamaa miaka ya 2010'S.Mdachi, RIP.. kwa organic chem hasahasa stereochem he was the best
Sent using Jamii Forums mobile app
Madogo wa UDOM wana kimbiza sana Law school.Wanafunzi wa UDOM wote wanatamani wangesoma UDSM. Degree ya UDOM inapaswa ilinganishwe na zoom college
hahahah atakuwepo yule Dr, sikuwahi kumuelewa mzee wa “is nti nti" kabisa kwenye DS 101 sipati picha anavyowafundisha wengine kwenye lecture zingine za IDS inakuajeTeacher "is nti nti". DS UDSM
Sijui Bado yupo kitambo sana 2006
Cha ajabu tulifaulu sasahahahah atakuwepo yule Dr, sikuwahi kumuelewa mzee wa “is nti nti" kabisa kwenye DS 101 sipati picha anavyowafundisha wengine kwenye lecture zingine za IDS inakuaje
Au marehemu Dr Remmy wa SinzaYaan hata Mwanao Prof Jay Toka Mikumi umemsahau mkuu
Typed Using KIDOLE
Alikuwa anatangaza radio Maria,mjuzi sana wa kitabu cha Mungu na ana sauti nzito kiainaRev. Prof. Titus Amigu
akifundisha uwe na kitambaa cha kufuta machozi kwa kucheka.
SAUT
Mwaka gani hapo?Dr Uwiso mr (meteorology), G.M G.M Mlay(MT 100) foundation to mathematical analysis,comedy Sana huyu mzee.Alikuwa anacompare puchu na complex number.
UDSM
Haka kajamaa kana matusi balaaZotto
Afu kanapenda chiniHaka kajamaa kana matusi balaa
Balaa,kanapenda kabadilishe madem kila siku.Nakajua Sana haka kajamaa kalikuwaga rafiki yangu hivi kitamboAfu kanapenda chini
Balaa,kanapenda kabadilishe madem kila siku.Nakajua Sana haka kajamaa kalikuwaga rafiki yangu hivi kitambo