Hebu jamani, mstaarabike muda mwingine...

Hebu jamani, mstaarabike muda mwingine...

Hao ilikuwa ni neno moja tu tena straight, jamani samahani na sie tunatoka nadhani tutaonana siku nyingine kwa maongezi zaidi
 
(a) Hata mimi nilishangaa maana walikuwa bado wanaruti nyingi za kufanya kulingana na mazingumzo yao........ila nadhani walishachoka na majukumu yao......maana wakajitoa ufahamu kabisa.

(b) Ni manungayembe kwasababu mwanamke mwenye kwake huwa hata siku moja hawezi poteza muda kukaa kwa watu bila ratiba maalumu.......kama fiancee wangu hata mara moja huwezi mkuta anarandaranda bila ratiba.......ni huwa utamkuta kalala geto kama hana cha kumkeep busy.

Hao rafiki zake wanaakisi tabia za mkeo.
 
Hao rafiki zake wanaakisi tabia za mkeo.


Wife ni mstaarabu sana si kwamba na mtetea.....ila ni kwasababu namjua.........

Pia si kweli kwamba hawa mi marafiki zake......la hasha.......hawa walikuwa ni school mates wake kipindi cha primary......miaka kumi na iliyopita.......sasa wakamkuta hapa shobo ikaanza.......nahisi hawa mademu ni luba......so life ngumu wakaona leo waponee geto kwangu......maana hata wife si kwamba alikuwa na story nao.....ila ni wao walikuwa na yao.
 
Hivi umesema fiancee au waifu?



Namwita majina yote mawili sababu nimesha kamilisha sehemu kubwa ya kuwa naye kiuhalali nimeshalipa mahari kila kitu ni sherehe ya harusi tu imebaki........maybe mwakani au mwanzoni mwa 2017 tutakualika kwenye kareception kadogo tutakakoandaa ......
 
Wife ni mstaarabu sana si kwamba na mtetea.....ila ni kwasababu namjua.........

Pia si kweli kwamba hawa mi marafiki zake......la hasha.......hawa walikuwa ni school mates wake kipindi cha primary......miaka kumi na iliyopita.......sasa wakamkuta hapa shobo ikaanza.......nahisi hawa mademu ni luba......so life ngumu wakaona leo waponee geto kwangu......maana hata wife si kwamba alikuwa na story nao.....ila ni wao walikuwa na yao.

Mmmmh!!! Badoo
 
'Ustaarabu unaanza na wewe'.

1. Too much unnecessary details, sijui series ya nini nini! Mara type ya 'menu'.
2. Hii ni hadithi au? Una wife na fiancee? au ni huyo huyo?
3. Just because wao wananadi biashara yao au kuwaharibia ustaarabu wenu haimaniishi kuwaita 'Manungayembe', au 'wasugua gaga' uwezekano mkubwa ni ukuonyesha attitude hii na wao lazima 'wakukomeshe'
4. UKAWA? Seriously dude?
 
Wazungu wanasema... Show me you friends and i ll knw who u r... Mkeo atakua na tabia zinazolingana nao...
 
Kiswahili hicho boss plus nipo sahihi kupita maelezo kuwaita hayo majina

kama unaona upo sahihi basi ujue na mkeo yupo hivyohivyo... isingekuwa hivyo wala asingewavumilia kabisa...huyo naye ni walewale... subiri warudi tena siku nyingine tena ndio watakuja mapema zaidi maana waliishaona hauba maamuzi juu yao
 
Nungayembe ndio kitu gani ? Hii terminology haijafika kwetu Kenya
 
Mwanzo wa story alikuwa FIANCEE, kadri stori ilivyoendelea mwanamke akapanda cheo na kuwa WIFE.
 
Back
Top Bottom