Hebu jamani, mstaarabike muda mwingine...

Hebu jamani, mstaarabike muda mwingine...

Shida yako kaka hutaki kujikubali uhalisia Wa maisha yako, yani unataka usomeke kama upo matawi wakat life yako bado tait, Kwa stor hii wewe unamgogoro na nafsi yako na wewe ndo cio mstaarabu. Ktk maelezo yako yoote hakuna mahali panaonesha mchumba~mke wako eitha aliboreka au kukereka na hao wageni . siku nyingine wife wako akijiwa na shost zake mpishe ndo tunavofanya wanaume
 
Hahahaaa nimecheka sana, afu mkiwa na chumba kimoja mnakarobishaje wageni chumbani? Nunua viti vya plastiki waishie nje. Chumba kiheshimiwe bwana.
 
Hahahaaa nimecheka sana, afu mkiwa na chumba kimoja mnakarobishaje wageni chumbani? Nunua viti vya plastiki waishie nje. Chumba kiheshimiwe bwana.

Unaoa ukiwa na chumba kimoja! alafu hutaki wageni!!! Duuuh maisha ya siku hizi bwana!
 
Yaani shemeji ndio umeamua kuja kutusema vibaya huku Jamiiforums jamani?kama chapati na maini yako tuliyokula kwako sisi tutakurudishia tuu.
 
Unaoa ukiwa na chumba kimoja! alafu hutaki wageni!!! Duuuh maisha ya siku hizi bwana!

Kwa hali ya maisha yetu wabongo ilivyo haya mambo ya chumba kimoja kawaida tuu, ila ndo hivo lazima kuwe na utaratibu, wageni waishie nje, angewatandikia jamvi nje wagare gare hadi asubuhi...chumba cha mke na mume kina mengi, hatakiwi kuingia kila MTU..
Yani rafiki wa toka primary umzoe umuingize chumbani? Hell noo....
 
Kwa hali ya maisha yetu wabongo ilivyo haya mambo ya chumba kimoja kawaida tuu, ila ndo hivo lazima kuwe na utaratibu, wageni waishie nje, angewatandikia jamvi nje wagare gare hadi asubuhi...chumba cha mke na mume kina mengi, hatakiwi kuingia kila MTU..
Yani rafiki wa toka primary umzoe umuingize chumbani? Hell noo....

Sasa hiyo si ndio sebule yao jamani.
 
Yaani shemeji ndio umeamua kuja kutusema vibaya huku Jamiiforums jamani?kama chapati na maini yako tuliyokula kwako sisi tutakurudishia tuu.

Na nyie inahusu kuvamia chumbani kwa watu na mkang'ang'ania...wenyewe wanashindwa hata kutafuta mtoto mchana....!
 
Aaah, asingelalamika, ustaarabu aunze yeye kwa kuchuja watu wa kuingia chumbani kwake......

Hapo ni chumbani paheshimiwe na watu wote mpaka pale atakapokuwa na uwezo wa kumiliki chumba na sebule, ye amewakaribisha mwenyewe chumbani kwake alafu analalamika!!!
 
Hapo ni chumbani paheshimiwe na watu wote mpaka pale atakapokuwa na uwezo wa kumiliki chumba na sebule, ye amewakaribisha mwenyewe chumbani kwake alafu analalamika!!!

Hapo umenena vema...tena hao mabinti wangemkomesha kwa kupanda kitandani kabisaaa...
 
Hapo ni chumbani paheshimiwe na watu wote mpaka pale atakapokuwa na uwezo wa kumiliki chumba na sebule, ye amewakaribisha mwenyewe chumbani kwake alafu analalamika!!!

chumba hicho hicho,sebule hiyohiyo, jiko hapohapo.. sipati picha hao wageni walivyovuruga vuruga kitanda
 
Mmh basi kweli kazi zetu tunafanya alimradi tuonekane tunapita pita tu, yaani wakaacha na kazi yenyewe wakakaa kitako na michapo...
 
Back
Top Bottom