Unajua ndugu zangu......kuna kauli unaweza toa hadi watu wakashtukia kuwa ndio unaanza kupevuka bado unashombo ya maziwa......
Sasa hapo ni wapi ambapo haujaelewa kwenye huo mkasa........nilichokuwa nakimaanisha katika simulizi hii ni tatizo la watu kufanya vituko katika hali isiyo ya kistaarabu...........hawa wadada si kwamba wapo close na wife maana hata namba zao hakuwa nazo alichukua on that day......kiufupi ni alicheza nao utotoni enzi za primary sekondary hadi chuo hakuwa nao karibu sasa huoni kuwa walivamia kambi?!
The issue hapa ni umekutana na rafiki yako wa longi unampa hi tu then unaendelea na ratiba zako sio kuita na wenzako halafu unaweka kambi kana kwamba mlikuwa na miadi. Msosi sio inshu ........ila inshu ni kuniharibia ratiba na wife maana tulikuwa tunayetu tunataka kudo siku tatu si mchezo........ila sidhani kama utaelewa maana ndio unakua.....so haujui fedhea ya kuvurugiwa privacy.