Hebu itupie neno picha hii!

Hebu itupie neno picha hii!

Honolulu

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
5,648
Reaction score
1,729
11.+MWAMPAMBA,+SHONZA,+ASENGA+NA+....jpg
 
huyu mkaka wa pili kushoto ni nani? He is yummy looking with his baby face..Lol
 
baba zao wamewafanya wavae nguo walizovaa, hawafananii kabisa na makada. Na wanaandaliwa kuja kutuongoza baadae no matter wot it takes, at any cost
 
Mbona wamesmama km vile wamepangwa mstari utasema watoto wa chekechea hawaja relax
 


Sasa mbona picha zenyewe umezitupia alfajiri? Ni baada ya mama yeyoo kukunyima kitumbua?, ila naona bidada wa kwanza kushoto ana kitambi.......... Mama yake atakuwa anauza sute/kwete/komoni et cetera.
 
Wamekaa kinafkinafki, yaani ni kama mwanafunzi aliyesomea taaluma asiyoipenda toka moyoni ila kaambiwa ukitaka kufanikiwa chukua kozi hii!!
 
huyu mkaka wa pili kushoto ni nani? He is yummy looking with his baby face..Lol

vipi dada? pichu ishalowa kwa kutazama?
kwa mimi naona shonza ni mtamu kumfyonza.
 
Huyo mdada wa kwanza kushoto hicho kitambi mtepeto kulikoni!
 
l don't kwow them although the colour of their shirts suggest that,may be are newly ccm members who real luck confidence!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom