Hebu itupie neno picha hii!

Hebu itupie neno picha hii!

Usipokuwa makini utasema hawa ni vijana wa Sultani Makenga. Lakini kumbe sio!!!!!
 
Pole kama umemzimia. mtafute binti, unaweza fanikiwa kupata mume (if you are a girl are anyway!)
noo sijampnda kimapenzi wala kimume mkuu! nmempenda how he is and thats it. .lol
 
vipi dada? pichu ishalowa kwa kutazama?
kwa mimi naona shonza ni mtamu kumfyonza.
we nae mawazo ya giza tuu! we pichu umeiona? he is gud lookin thats all. iyo ya pichu labda wewe shosti..mie akha
 
vipi dada? pichu ishalowa kwa kutazama?
kwa mimi naona shonza ni mtamu kumfyonza.
shosti uwe unwaza sio kukurupuka chupi iloweje apo? so wewe imeloa? kha yani kumsifia mtu mwenyewe hata kumjua simjui ndo kwanza namuona.
 
11.+MWAMPAMBA,+SHONZA,+ASENGA+NA+....jpg
uniform zimewapendeza hasa huyo mdada wa pili kulia na mkaka watatu. wengine hizi uniform hazipendezagi
 
He kila mtu mtazamo wake mi nawaona wako poa tu na wamepata faida ndio maana wameweka kumbukumbuku nzuri ya photo.:A S-confused1:
 
Papaa nitajie hizo aina tofauti ya viyambia ukianzi kitambo mtepeto

Ile ni Link we Mkware, ifungue (click) utazipata hizo aina za vitambi.

By the way tuongee issue muhimu, hivi yule dogo ulipiga kweli?
Yaani Mkuu wangu ulipe school fees ya 3Mil burebure tu? tusitaniane bana.
Halafu mbona huku kitaa wanadi eti umesepa mamtoni kukwepa soo??
Hii issue tunaiuza kidizaini hivi, dogo tunamkatia mkwanja mrefu tu, haina haja ya kutumia namba yako, mi namuibukia physically, namtoa kitu kidogo.
Maana kama hivyo umekula kona, Wana tabora utawaambia nini Mkuu wangu?
Ni hayo tu mwana!!
 

Hawa walikuwa katika harakati za kichama inaelekea ni kati ya Singida au Tabora. Waliahidiwa posho, lakini katika picha wanaonyesha kunyong'onyea baada ya kuambiwa posho haitalipwa hadi wakiudi Lumumba Dar es Salaam.
mkijitela mnapandwa na juliana fonzwa tumbo chumias.
 
noo sijampnda kimapenzi wala kimume mkuu! nmempenda how he is and thats it. .lol

Kwani Swts, ukimpenda ni v ibaya. Anaweza akawa kijana mwema! Mbona wengi wamepata wenzi wao humu JF tena wema kabisa. Keep smiling!
 
Kwani Swts, ukimpenda ni v ibaya. Anaweza akawa kijana mwema! Mbona wengi wamepata wenzi wao humu JF tena wema kabisa. Keep smiling!

kaka emotional connections! Sio desperado meeting! Me nimempenda kawaida tuuu sio kimapenzi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom