Earth on heaven
Member
- Jun 7, 2013
- 82
- 34
mtela mbona suruali hapo chini imetuna sana? au mlitoka ku-kapuyana?
Hawa walikuwa katika harakati za kichama inaelekea ni kati ya Singida au Tabora. Waliahidiwa posho, lakini katika picha wanaonyesha kunyong'onyea baada ya kuambiwa posho haitalipwa hadi wakiudi Lumumba Dar es Salaam.
Wa pili kutoka kuliaKumbe kuna Juliana katika hii picha, embu niambieni ni yupi kati ya hao wadada wawili?
Hiyo aliyovaa Mtela ni shati kweli!?? mbona vishikizo kushoto!?? au alikosa shati Juliana kamsitiri!???
!
!
unaweza kuona madhara ya kula ugali au wali mwingi kuliko mboga....ona huyu wa kwanza kushoto ana kitambi kabisa, huyu wa pili mrefu kashupaa kama anakula saruji, haka ka tatu kamekomaa ka nini sijui na huyu wa mwisho kapaukaaaaa