heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
Kwa marafiki zangu wote wa JF,ambao kwa namna moja ama nyingine,mlinikosa yote ni kwa sababu kazi nying kuzitafuta shiling,coz usipofanya kazi kwa bidii,maisha mazuri utaishia kuyaona kwenye picha za Diamond tu..ok nimerudi kwa muda..niulize,tuzungumze na tuelimishane pia.
karibu..
View attachment 145957![]()
Domo kavaa boksa gani leo?
umerudi SO WHAT!!!!!!!!!!!!!!!!!
dogo vipi....? zile nguo za bosi wako hazijaja....?
dogo hujatuambia...Nguo gani unazungumzia wewe?wasaficlothingline?? mbona zinanunuliwa kila siku kama voucher