Hazina yako iko wapi......?

Hazina yako iko wapi......?

Jibu swali acha kukwepa swali,
Huna jibu kaa kimya.
Nimekujibu
Unless una majibu unayataka wewe yafanane na ya kwako

Biblia inamzungumzia Mungu na popote ukimuliza yeyote Je Biblia inazunguzia Mungu gani inajulikana

Wewe uliniuliza nimekujibu kama hujapenda jibu kaa kimya
 
min -me
Ulishawahi kusoma Biblia au kumtafuta Mungu kwa namna yeyote

Ukweli kuhusu Mungu umeandikwa kwenye Biblia. Je kwa namna yeyote umeseoma hukuelewa au tu hutaki kuamini Mungu yupo

Shida kubwa ambayo wakristu wanayo ni kama ile mbegu iliyoota kwenye miiba. Hata nikikwambia kuhusu Mungu hutaweza kuwa na mizizi ndani yako


Mfano tu unaona wakristu wengi kipindi hiki wanaamini kuwa kutoa sadaka ni kuiweka mbinguni

Je ni kweli leo hii nikipeleka mia mbili zangu nimeziweka mbinguni?

Hapa ndipo unaona mapokeo ya kipagani yanaonekana

Mfano mkwawa alizikwa na mtu akiamini atamsimamia huko mbinguni
Pia Farao was burried with gold and many people believing they will serve him in after life.

Je ni kweli chochote kilichopo duniani utakiweka mbinguni? SI KWELI

Rabbi Hona aliuliza. "Je Mwanga ukipiga kwenye nyumba yako mwenye nyumba anaimiliki huo Mwanga?"

Hivyo basi wewe ni Nuru na unatoka kwa Mungu. Hivyo uko hapa duniani ila vya dunia hii vitabaki duniani hata mwili wako utabaki duniani

ROho yako itarudi kwa Bwana. Ukiwa na upotevu basi Roho yako itaangamia

Nini cha kufanya?
KUtomwamini Mungu maana yake wewe ni mpagani. Pia kuamini neno ambalo halina uhai ndani yake pia wewe bado ni mpagani

Cha kufanya... Anza kutafuta uso wa Mungu, whoever seeks he will find. In the sense that, throught Holy Spirit you have to work to understand the word of God. To find the Truth, only then you will inherit the Kingdom of Hevean

THe fist time my younng brother disected a human being. He said to me "brother, a human body function is a divine work" he only had to realize this after observing the human anatomy. .

Niko hapa kukusaidia kwa namna yoyote endapo utahitaji kumjua Mungu. But ni upotevu mkubwa kutoamini. Biblia inasema mjinga ndio atasema Mungu hayupo....
Bwashee hizo mambo ni punyeto za ubongo tu na kujiliwaza , kaa hapo amini Mungu atakusaidia na kukushushia ugali na mimi ambae siamini wala sisali ila nachapa kazi , tuone nani atakula
 
Zamani ilikuwa nikisikia mtu ana hubiri hivi nilikuwa naona anajisumbua ila baada ya kupata mauza uza aisee niliamini Mungu yupo. Na I do not make any jokes concerning God
Mimi sihubiri nawafundisha vijana kuhusu tafsiri ya neno

Yeye asiyeamini huna haja ya kumwambia mara mbili. UNamuacha kama alivyo

Hapa niko kufundisha sio kubishana. Kwangu kazi yangu ni moja tu kufundisha kwa sababu natimiza wajibu wangu. Imenipasa kufanya hivyo

Ila kuelewa au ubishi nawaachie wenye mda huo

Wabarikiwe wote ambao wameweza kulishika neno lake Bwana. .
 
min -me
Ulishawahi kusoma Biblia au kumtafuta Mungu kwa namna yeyote

Ukweli kuhusu Mungu umeandikwa kwenye Biblia. Je kwa namna yeyote umeseoma hukuelewa au tu hutaki kuamini Mungu yupo

Shida kubwa ambayo wakristu wanayo ni kama ile mbegu iliyoota kwenye miiba. Hata nikikwambia kuhusu Mungu hutaweza kuwa na mizizi ndani yako


Mfano tu unaona wakristu wengi kipindi hiki wanaamini kuwa kutoa sadaka ni kuiweka mbinguni

Je ni kweli leo hii nikipeleka mia mbili zangu nimeziweka mbinguni?

Hapa ndipo unaona mapokeo ya kipagani yanaonekana

Mfano mkwawa alizikwa na mtu akiamini atamsimamia huko mbinguni
Pia Farao was burried with gold and many people believing they will serve him in after life.

Je ni kweli chochote kilichopo duniani utakiweka mbinguni? SI KWELI

Rabbi Hona aliuliza. "Je Mwanga ukipiga kwenye nyumba yako mwenye nyumba anaimiliki huo Mwanga?"

Hivyo basi wewe ni Nuru na unatoka kwa Mungu. Hivyo uko hapa duniani ila vya dunia hii vitabaki duniani hata mwili wako utabaki duniani

ROho yako itarudi kwa Bwana. Ukiwa na upotevu basi Roho yako itaangamia

Nini cha kufanya?
KUtomwamini Mungu maana yake wewe ni mpagani. Pia kuamini neno ambalo halina uhai ndani yake pia wewe bado ni mpagani

Cha kufanya... Anza kutafuta uso wa Mungu, whoever seeks he will find. In the sense that, throught Holy Spirit you have to work to understand the word of God. To find the Truth, only then you will inherit the Kingdom of Hevean

THe fist time my younng brother disected a human being. He said to me "brother, a human body function is a divine work" he only had to realize this after observing the human anatomy. .

Niko hapa kukusaidia kwa namna yoyote endapo utahitaji kumjua Mungu. But ni upotevu mkubwa kutoamini. Biblia inasema mjinga ndio atasema Mungu hayupo....
Aisee Meku na mbege utakuwa umeacha kabisa.
 
Mimi sihubiri nawafundisha vijana kuhusu tafsiri ya neno

Yeye asiyeamini huna haja ya kumwambia mara mbili. UNamuacha kama alivyo

Hapa niko kufundisha sio kubishana. Kwangu kazi yangu ni moja tu kufundisha kwa sababu natimiza wajibu wangu. Imenipasa kufanya hivyo

Ila kuelewa au ubishi nawaachie wenye mda huo

Wabarikiwe wote ambao wameweza kulishika neno lake Bwana. .
Amina... sharti injili ihubiriwe ulimwengu wote ili iwe USHUHUDA KWAO maana sio wote wataamini...
 
Bado unahubiri tu thibitisha uwepo wa mungu kwenye vitabu hata chopeko na mnofu kaandikwa
Again Mangi
Simply nijibu wewe kwako ishara gani unahitaji ili uamini Mungu yupo?
Nahitaji hilo tu. Ukijibu hilo linanitosha kukusaidia

Mimi kaka yako tusibishane. Niambia ishara tu au turudi niandike kichaga unijibu swali langu?
 
Mbege nakunywa kwa nini misimywe mbege.

Nakunywa kiasi bora moja linanitosha

Hivi mshamba wewe ndo wa kunikataa hivi? Siku hizi unepotea sana.
Brian anatumia jina gani hapa?
Kunywa pombe habari za mungu kakataa waachie hawa mapengo walokole
 
Nimekujibu
Wapi umejibu? Umejibu kwa kuniambia Mungu yupi?
Unless una majibu unayataka wewe yafanane na ya kwako
Acha kuleta taarabu,jibu swali.
Biblia inamzungumzia Mungu na popote ukimuliza yeyote Je Biblia inazunguzia Mungu gani inajulikana
Mimi nimekuuliza wewe,sijataka kumuuliza yeyote,

Kumbe unajibu ili nipende jibu lako? Mimi nataka jibu sahihi,sio jibu nitakalo lipenda.
 
Kunywa pombe habari za mungu kakataa waachie hawa mapengo walokole
MImi nakunywa mbege kiasi.
Sheria ya Mungu inasemaje kuhusu kunywa wine?

Unajua muujuza wa kwanza Yesu kuufanya?
Aligeuza maji kuwa wine. John 2: 1-11

Yesu au Biblia haijakataza kunywa wine. Ila imekataza ulevi.

Pia Biblia inafundisha kuhusu kiasi. Kila jambo u alofanya liwe kwa kiasi

Sio pombe tu kuna mambo mengi ya sheria. Unanipa kazi ya kuandiak sana...hata kula vitunguu vibichi Bwana alikataza.
Mbona huzungumzii kuhusu kula kibudu?

Mangj kunywa kwa afya ila usije ukawa unakunywa spirited alcohol haina afya yeyote acha kabisa konyagi kvang kiwingu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom