Hazina yako iko wapi......?

Hazina yako iko wapi......?

Huyo mungu ni kiazi kweli kama anathibishwa kwa namna hiyo
Kuna jamaa alikuwa anaiwa Goliath... alikuwa anawatukana israel na MUNGU wao... ila kilichompata ni kitu kibaya..... lakini SISI YESU ameshasema waombeeni wanaowaudhi.....
 
min -me
Ulishawahi kusoma Biblia au kumtafuta Mungu kwa namna yeyote

Ukweli kuhusu Mungu umeandikwa kwenye Biblia. Je kwa namna yeyote umeseoma hukuelewa au tu hutaki kuamini Mungu yupo

Shida kubwa ambayo wakristu wanayo ni kama ile mbegu iliyoota kwenye miiba. Hata nikikwambia kuhusu Mungu hutaweza kuwa na mizizi ndani yako


Mfano tu unaona wakristu wengi kipindi hiki wanaamini kuwa kutoa sadaka ni kuiweka mbinguni

Je ni kweli leo hii nikipeleka mia mbili zangu nimeziweka mbinguni?

Hapa ndipo unaona mapokeo ya kipagani yanaonekana

Mfano mkwawa alizikwa na mtu akiamini atamsimamia huko mbinguni
Pia Farao was burried with gold and many people believing they will serve him in after life.

Je ni kweli chochote kilichopo duniani utakiweka mbinguni? SI KWELI

Rabbi Hona aliuliza. "Je Mwanga ukipiga kwenye nyumba yako mwenye nyumba anaimiliki huo Mwanga?"

Hivyo basi wewe ni Nuru na unatoka kwa Mungu. Hivyo uko hapa duniani ila vya dunia hii vitabaki duniani hata mwili wako utabaki duniani

ROho yako itarudi kwa Bwana. Ukiwa na upotevu basi Roho yako itaangamia

Nini cha kufanya?
KUtomwamini Mungu maana yake wewe ni mpagani. Pia kuamini neno ambalo halina uhai ndani yake pia wewe bado ni mpagani

Cha kufanya... Anza kutafuta uso wa Mungu, whoever seeks he will find. In the sense that, throught Holy Spirit you have to work to understand the word of God. To find the Truth, only then you will inherit the Kingdom of Hevean

THe fist time my younng brother disected a human being. He said to me "brother, a human body function is a divine work" he only had to realize this after observing the human anatomy. .

Niko hapa kukusaidia kwa namna yoyote endapo utahitaji kumjua Mungu. But ni upotevu mkubwa kutoamini. Biblia inasema mjinga ndio atasema Mungu hayupo....
 
Pombe nakunywa toka mtoto acha ukiazi labda kama unataka niache ili uwe mke wangu wa tatu , utakua na hoja
You're triggered naona😂
Tulia mwanatumbi, tulia tukupe makavu. You're destroying yourself. Stop drinking too much anza kupunguza mdogomdogo
 
min -me
Ulishawahi kusoma Biblia au kumtafuta Mungu kwa namna yeyote

Ukweli kuhusu Mungu umeandikwa kwenye Biblia. Je kwa namna yeyote umeseoma hukuelewa au tu hutaki kuamini Mungu yupo

Shida kubwa ambayo wakristu wanayo ni kama ile mbegu iliyoota kwenye miiba. Hata nikikwambia kuhusu Mungu hutaweza kuwa na mizizi ndani yako


Mfano tu unaona wakristu wengi kipindi hiki wanaamini kuwa kutoa sadaka ni kuiweka mbinguni

Je ni kweli leo hii nikipeleka mia mbili zangu nimeziweka mbinguni?

Hapa ndipo unaona mapokeo ya kipagani yanaonekana

Mfano mkwawa alizikwa na mtu akiamini atamsimamia huko mbinguni
Pia Farao was burried with gold and many people believing they will serve him in after life.

Je ni kweli chochote kilichopo duniani utakiweka mbinguni? SI KWELI

Rabbi Hona aliuliza. "Je Mwanga ukipiga kwenye nyumba yako mwenye nyumba anaimiliki huo Mwanga?"

Hivyo basi wewe ni Nuru na unatoka kwa Mungu. Hivyo uko hapa duniani ila vya dunia hii vitabaki duniani hata mwili wako utabaki duniani

ROho yako itarudi kwa Bwana. Ukiwa na upotevu basi Roho yako itaangamia

Nini cha kufanya?
KUtomwamini Mungu maana yake wewe ni mpagani. Pia kuamini neno ambalo halina uhai ndani yake pia wewe bado ni mpagani

Cha kufanya... Anza kutafuta uso wa Mungu, whoever seeks he will find. In the sense that, throught Holy Spirit you have to work to understand the word of God. To find the Truth, only then you will inherit the Kingdom of Hevean

THe fist time my younng brother disected a human being. He said to me "brother, a human body function is a divine work" he only had to realize this after observing the human anatomy. .

Niko hapa kukusaidia kwa namna yoyote endapo utahitaji kumjua Mungu. But ni upotevu mkubwa kutoamini. Biblia inasema mjinga ndio atasema Mungu hayupo....
Zamani ilikuwa nikisikia mtu ana hubiri hivi nilikuwa naona anajisumbua ila baada ya kupata mauza uza aisee niliamini Mungu yupo. Na I do not make any jokes concerning God
 
Huyo jamaa hana jina?
Analo!
Yesu nae alisulubiwa kwa kosa gani? Hakuna Alisulubiwa na kina nani? Asikari wakirumi Hakuweza kujitetea?
Hakutaka..
Akaja kumwamini nani?
Yesu
Akaahidiwa na nani? Yesu Paradiso ndio wapi? Makao ya amani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom