Hazina yako iko wapi......?

Hazina yako iko wapi......?

Zamani ilikuwa nikisikia mtu ana hubiri hivi nilikuwa naona anajisumbua ila baada ya kupata mauza uza aisee niliamini Mungu yupo. Na I do not make any jokes concerning God
Hata
Nebkadneza alisema ni MUNGU gani atakayewaokoa... tena kwa kiburi ila akaja kuwa mhubiri mkubwa tu¡
 
MImi nakunywa mbege kiasi.
Sheria ya Mungu inasemaje kuhusu kunywa wine?

Unajua muujuza wa kwanza Yesu kuufanya?
Aligeuza maji kuwa wine. John 2: 1-11

Yesu au Biblia haijakataza kunywa wine. Ila imekataza ulevi.

Pia Biblia inafundisha kuhusu kiasi. Kila jambo u alofanya liwe kwa kiasi

Sio pombe tu kuna mambo mengi ya sheria. Unanipa kazi ya kuandiak sana...hata kula vitunguu vibichi Bwana alikataza.
Mbona huzungumzii kuhusu kula kibudu?

Mangj kunywa kwa afya ila usije ukawa unakunywa spirited alcohol haina afya yeyote acha kabisa konyagi kvang kiwingu
Hizo sheria mnazodai za mngu ziletwa juzi juzi na wakoloni , wametukuta tunakunywa mbege chini ya mlima kimanjaro maelfu ya miaka
 
Wapi umejibu? Umejibu kwa kuniambia Mungu yupi?

Acha kuleta taarabu,jibu swali.

Mimi nimekuuliza wewe,sijataka kumuuliza yeyote,

Kumbe unajibu ili nipende jibu lako? Mimi nataka jibu sahihi,sio jibu nitakalo lipenda.
Bwashee swali lako ndio litaparanganya kabisa , walokole , roma na wasabato itazaliwa vita vya wenyewe kwa wenyewe hapo
 
Bwashee swali lako ndio litaparanganya kabisa , walokole , roma na wasabato itazaliwa vita vya wenyewe kwa wenyewe hapo
Mleta mada anaongelea Injili,huyo mwingine kavamia uzi anaongelea Biblia! Hawajui kua Injili na Biblia ni vitabu viwili tofauti kabisa,

Halafu hawa walokole hua ni wagumu sana kuelewa,wao wakisha mezeshwa basi humwambii kitu zaidi.
 
Wapi umejibu? Umejibu kwa kuniambia Mungu yupi?

Acha kuleta taarabu,jibu swali.

Mimi nimekuuliza wewe,sijataka kumuuliza yeyote,

Kumbe unajibu ili nipende jibu lako? Mimi nataka jibu sahihi,sio jibu nitakalo lipenda.
Mimi naamini katika Mungu, huyu Mungu ni nani?

Mungu aliyewatoa Israel Utumwani akawavusha bahari ya Shamu. Akawalisha Manna na kuwapa maji jangwani. .
 
Mleta mada anaongelea Injili,huyo mwingine kavamia uzi anaongelea Biblia! Hawajui kua Injili na Biblia ni vitabu viwili tofauti kabisa,

Halafu hawa walokole hua ni wagumu sana kuelewa,wao wakisha mezeshwa basi humwambii kitu zaidi.
Walokole kila siku nawataja humu , majitu yakisha fanya madudu ndio yanakimbilia kuokoka , humo unakuta majambazi sugu, majizi , milupo na kila aina ya kubuhu na mtu akisha nasa ka UKIMWI chake ndio anaenda kujifajiri humo
 
Hizo sheria mnazodai za mngu ziletwa juzi juzi na wakoloni , wametukuta tunakunywa mbege chini ya mlima kimanjaro maelfu ya miaka
Sawa. Sina cha kukwambia
Mini nimesoma vitabu vingi sana ambavyo vimeandikwa zamani sana.

Kusema kuwa vitabu hivi vimekuja juzi na wakoloni maana yake unataka kubishana tu

Lakini uwepo Mungu unaishi ndani yangu. Ungeweza kusema unataka kuamini kwa namna gani ningekusaidi ila kwa sababu ya kubishana sitaweza kushindana na wewe kwanza wewe kijana uko vizuri kushindana


Nimenawa mikono umeshinda wewe.
 
Walokole kila siku nawataja humu , majitu yakisha fanya madudu ndio yanakimbilia kuokoka , humo unakuta majambazi sugu, majizi , milupo na kila aina ya kubuhu na mtu akisha nasa ka UKIMWI chake ndio anaenda kujifajiri humo
Inasikitisha sana.... et walokole ni kweli?
 
Sawa. Sina cha kukwambia
Mini nimesoma vitabu vingi sana ambavyo vimeandikwa zamani sana.

Kusema kuwa vitabu hivi vimekuja juzi na wakoloni maana yake unataka kubishana tu

Lakini uwepo Mungu unaishi ndani yangu. Ungeweza kusema unataka kuamini kwa namna gani ningekusaidi ila kwa sababu ya kubishana sitaweza kushindana na wewe kwanza wewe kijana uko vizuri kushindana


Nimenawa mikono umeshinda wewe.
Legeza ubongo bwashee 😃
 
Sawa
AS i said before. Ukibahatika kwenda shule uwe unabishana kwa hoja.
Matusi? Kejeli za kusema sijui taarab, kubeza sio ubishani wa hoja
Huna hoja,
ulivyonipa amri nikae kimya ndio hoja hiyo? Kama umeenda Shule na akili yako ndio ipo hivyo,basi hiyo Shule bila shaka ulienda kusomea ujinga,na ukapasi kwa alama za juu sana,
Tufanye umeshinda wewe, mimi nimenawa mikono
Umeshindwa kujibu maswali yangu,endeleeni kuwapelekesha tu hao mlioamua kuwaita KONDOO
Uwe na wakati mwema
Wakati wangu,wewe unakuhusu nini?
 
Huna hoja,
ulivyonipa amri nikae kimya ndio hoja hiyo? Kama umeenda Shule na akili yako ndio ipo hivyo,basi hiyo Shule bila shaka ulienda kusomea ujinga,na ukapasi kwa alama za juu sana,

Umeshindwa kujibu maswali yangu,endeleeni kuwapelekesha tu hao mlioamua kuwaita KONDOO

Wakati wangu,wewe unakuhusu nini?
Kwa nini unatafuta shari na mimi
Sio lazima tuwe na mawazo sawa

Umeshinda wewe ni hivyo tu tuishie hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom