Hazina yako iko wapi......?

Hazina yako iko wapi......?

Kwa hiyo we sio mlokole ila unaniambia mi niokoke
Heri ya Sabato kwako
MImi binafsi huwa naamini kwa asilimia kubwa kuwa WOKOVU umepatikana Yesu aliposulubiwa msalabani.

Sijaokoka in sense kuwa niwe mlokole kama watu wengi unasikia wameokoka. Ila matendo yako yampendeze Mungu.
 
Heri ya Sabato kwako
MImi binafsi huwa naamini kwa asilimia kubwa kuwa WOKOVU umepatikana Yesu aliposulubiwa msalabani.

Sijaokoka in sense kuwa niwe mlokole kama watu wengi unasikia wameokoka. Ila matendo yako yampendeze Mungu.

Yeah mkuu
Kimsingi wokovu unaanzia kwenye matendo
 
Si umeona huyo mwizi aliesulubiwa, pia hazina alizoiba kaziacha. Sasa peleka hazina zako kule ambako hutaweza kutengana nazo milele.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom