Hazina yako iko wapi......?

Hazina yako iko wapi......?

Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo na wevi huvunja na kuiba. Bali jiwekeeni hazina mbinguni, kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi.

(Kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakuwapo na moyo wako Mathayo 6:19-21.

Je, yule mwizi msalabani, ambaye hajaweka hazina. Na wengine waliomwamini watatumia hazina za nani na mioyo yao itakuwa wapi?

Hizo hazina mbinguni zitakuwa na matumizi gani?

Asante!
😁😁😁 hapo napo hakumaanisha physical material.
 
Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo na wevi huvunja na kuiba. Bali jiwekeeni hazina mbinguni, kusikoharibika kitu kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji wala hawaibi.

(Kwa kuwa hazina yako ilipo, ndipo utakuwapo na moyo wako Mathayo 6:19-21.

Je, yule mwizi msalabani, ambaye hajaweka hazina. Na wengine waliomwamini watatumia hazina za nani na mioyo yao itakuwa wapi?

Hizo hazina mbinguni zitakuwa na matumizi gani?

Asante!
Watalisikia neno ila watapuuzia
 
Mdogo wangu mangi, angalia usije ukakufuru....nataka nikufundishe kitu hapa mbona unaweka trash kweye mada ya Mungu

"Do not store up for yourselves treasures on earth, where moths and vermin destroy, and where thieves break in and steal. But store up for yourselves treasures in heaven... For where your treasure is, there your heart will be also." (Matthew 6:19–21)

KAtika ukuaji wangu nimekulia Catholic. Nikiwa kama mkatoliki tumefundishwa sana kuweka hazina mbinguni

Shida iko sana katika tafsiri. Uhalisia wa hili neno uko hivi...
"Usihifadhi hazina ambayo inayotolewa na mwili, narudia neno earth linamanisha mwili na sio dunia.
Ila hifadhi hazina ambazo zinatoka kwa Bwana tu maana hazina uharibifu kabisa..."

kwa
Mungu kuna hazina nyingi sana ikiweno karama mbalimbali. Hivyo basi hazina yako itoke kwake na wala si kwa upotevu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom