Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,486
- 2,660
Wasalaam, kwa jinsi siasa za Tanzania zilipo hivi ni dhahiri maneno ya baba wa taifa yatamia. Tunakumbuka mwaka 2015 Mh lowassa aliitisa CCM na kusababisha wapinzani kupata idadi kubwa ya wabunge tangu kuanzishwa vyama vingi 1992.
Kwa jinsi upepo wa kisiasa ulivyo 2020 ni wazi Mh Membe anakwenda kiisambaratisha CCM, tusibiri kura za maoni za wagombea wa CCM wataopitishwa na wataokatwa inategemea mfalme ataamkia ubavu gani, hapa tutaraji wote wataokatwa kutimkia ACT kwa Membe na hivyo kugawa kura za CCM
Natunza kumbukumbu kwani maendeleo hayana vyama.
Kwa jinsi upepo wa kisiasa ulivyo 2020 ni wazi Mh Membe anakwenda kiisambaratisha CCM, tusibiri kura za maoni za wagombea wa CCM wataopitishwa na wataokatwa inategemea mfalme ataamkia ubavu gani, hapa tutaraji wote wataokatwa kutimkia ACT kwa Membe na hivyo kugawa kura za CCM
Natunza kumbukumbu kwani maendeleo hayana vyama.