Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Nimekuwa anafuatilia baadhi ya hotuba za Hayati Baba wa Taifa hili Mwl. Julius Nyerere
Moja ya hotuba yake ni ile aliyoizungumzia Katiba liliyopo kuwa ni Katiba ambayo ikimpata Rais atakayeitumia vibaya basi atakuwa Dikteta kwa wananchi anaowaongoza.
Nampongeza sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa uthubutu wake wa kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya lakini mahafidhina ndani ya CCM waliuvuruga mchakato ule.
Awamu ya 5 ilipoingia madarakani haikuitaka kabisa Katiba Mpya na kudai sio kipaumbele na wote ni mashahidi namna utawala wa Rais wa awamu ya 5 ulivyokuwa mgumu hasa kwa wapinzani hususani CHADEMA kutokana na matumizi mabaya ya Katiba
Rais wa 6 naYe inaonekana hana kabisa mpango wa kuendeleza mchakato wa katiba mpya jambo ambalo tunashindwa kuelewa hivi kauli ya Hayati Baba wa Taifa juu ya ubovu wa katiba iliyopo hawauoni ?
Pili kwanini hawataki kuendeleza mchakato wa katiba mpya aliouacha Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ?
Moja ya hotuba yake ni ile aliyoizungumzia Katiba liliyopo kuwa ni Katiba ambayo ikimpata Rais atakayeitumia vibaya basi atakuwa Dikteta kwa wananchi anaowaongoza.
Nampongeza sana Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kwa uthubutu wake wa kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya lakini mahafidhina ndani ya CCM waliuvuruga mchakato ule.
Awamu ya 5 ilipoingia madarakani haikuitaka kabisa Katiba Mpya na kudai sio kipaumbele na wote ni mashahidi namna utawala wa Rais wa awamu ya 5 ulivyokuwa mgumu hasa kwa wapinzani hususani CHADEMA kutokana na matumizi mabaya ya Katiba
Rais wa 6 naYe inaonekana hana kabisa mpango wa kuendeleza mchakato wa katiba mpya jambo ambalo tunashindwa kuelewa hivi kauli ya Hayati Baba wa Taifa juu ya ubovu wa katiba iliyopo hawauoni ?
Pili kwanini hawataki kuendeleza mchakato wa katiba mpya aliouacha Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ?