Hayati Magufuli ilikuwa Lazima yamkute. Tsh bilioni 8.26 za washtakiwa alibeba Biswalo bila kuwepo na 'Plea bargaining’

Huyu bwana sio mjinga tu,bali ni MPUMBAVU. Makala zake zoote ni kuhusu kumkashifu jpm,ni mtu ambaye nadhani hata maadili yake ni ya kutilia mashaka.

Yaani yeye na jpm,yeye na kanda ya ziwa.huo ni upumbavu wa kiwango cha juu sana,hebu chunguza makala zake zoote ni kuhusu jpm na kanda ya ziwa,sio kuhusu ccm.hapo ndipo unajua kuwa huyu ni mpumbavu,hajui kama samia alikuwa ni makamu wa rais,majaliwa alikuwa ni waziri mkuu,na mpango waziri wa fedha.kwa hiyo kilichofanhika awamu ya tano,huwezi kukitenganisha na awamu ya sita.japo awamu ya tano ilikuwa ni bora zaidi kuliko huu ujinga unaofanyika hii awamu ya sita.
Yule alikuwa mrundi, Kanda ya ziwa hakuna wezi.
 
Awamu hii inaficha uoza wake Yuma ya kivuli cha Magufuli.

Mpaka ripoti za 2028 utasikia stori za Magufuli.

I know you're getting paid my advice is just spend it well.
 
Awamu hii inaficha uoza wake Yuma ya kivuli cha Magufuli.

Mpaka ripoti za 2028 utasikia stori za Magufuli.

I know you're getting paid my advice is just spend it well.
2025 tunafumua mambo ya Hela za china, Hela alizoficha Misri katika mradi wa bwawa la nyerere, kampuni inalipwa hapa inapeleka Hela Misri, Kisha wanajifanya kuja kama wawekezaji.

Mama alienda Misri kwa ajili ya Hilo kama moja ya ajenda
 
2025 tunafumua mambo ya Hela za china, Hela alizoficha Misri katika mradi wa bwawa la nyerere, kampuni inalipwa hapa inapeleka Hela Misri, Kisha wanajifanya kuja kama wawekezaji.

Mama alienda Misri kwa ajili ya Hilo kama moja ya ajenda
Kadanganye wenzako kwenye kijiwe chenu cha gahawa.
 
Hii hali ya Kikanda na Ukabila Mnayo Ichochea Haita wafaidisha Bali itakuja Kuwatokea Puani nahata Kujutia
Pengine nyie au vizazi vyenu.
Na Hii hali ya kila Jambo Baya likitokea Kivuli chenu cha kujifichia ni Marehemu Haita wasaidia
Kufa kila mwanadamu Atakufa Wengine mnaleta Kejeli kwa Kifo chamtu Niakili zakipumbavu na Ujuha!
 
2025 tunafumua mambo ya Hela za china, Hela alizoficha Misri katika mradi wa bwawa la nyerere, kampuni inalipwa hapa inapeleka Hela Misri, Kisha wanajifanya kuja kama wawekezaji.

Mama alienda Misri kwa ajili ya Hilo kama moja ya ajenda
Mlikuwa Naye Mpishi Utashindwa Kujua kama Alienda kwahilo!!
 
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa mashitaka (DPP), Biswalo Mganga na maafisa wake walikiuka taratibu za mchakato wa kisheria wa makubaliano ya kukiri kosa (plea bargaining).

CAG amesema mchakato huo ulikuwa na matumizi ya nyaraka bandia, matumizi mabaya ya madaraka na watu kuchukuliwa fedha zao katika masuala ya kikodi ambayo si jinai. CAG amebainisha kuwa malipo Tsh bilioni 8.26 yalifanywa na washtakiwa bila ya kuwepo na 'Plea bargaining’.


"Hali hii inaonyesha uwepo wa ukiukwaji wa Kanuni namba 12 na 14 za Kanuni za Mwenendo wa Makosa ya Jinai (makubaliano ya kukiri kosa) za mwaka 2021, ambao unaleta shaka juu ya uwazi na uadilifu katika mchakato wa kukiri makosa." CAG Charles Kichere

MY TAKE:

Yaani tu anajinyima anatafuta hela anapeleka Benki halafu mtu mmoja wa Kanda ya ziwa anaenda Benki kuzichukua. Anajifanya kukushitaki ili apate uhalali wa kchukua account yote kabla hata hukumu haijasomwa.

Yafaa Biswalo Maganga aondolewe Ofisi za Umma kisa afungwe jiwe kubwa shingoni atumbukizwe Baharini. Magufuli alipokufa Biswalo alikuwa anatabasamu tu, alijua kabaki na Mzigo
View attachment 2580396
Awamu ya tano imepeleka wapi haya Mabilioni? Ndo maana Biswalo na Magufuli walikuwa Marafiki sana. Wakamuita Polepole wakampa hela akaanza kuzitawanya kwa Wanasiasa wa Upinzani.
View attachment 2580395
Hawa hapa washirika wa Magufuli kwa majina:
1. BISWALO MGANGA
2. WANKYO SIMON
3.ABDALLAH CHAVULA
4. RENATUS MKUPA
5. PAUL KADUSHI
6.MARTENUS MARANDU

Hawa jamaa walikamua sana fedha za watuhumiwa wa plea bargain
 
"...Mtu mmoja wa kanda ya Ziwa..."

Wewe mtu una matatizo mengi sana, huu ujinga wako wa kuhangaika na marehemu kila siku, sasa naona unaenda kutengeneza tatizo lingine la ukanda.

Nikushauri kitu kimoja, ukiwa unaimba haya mapambio yako ya kijinga ujiwekee mipaka, kujidai kwako mjanja kumsema vibaya marehemu kwa kumtafutia kila neno baya, mwishowe utavuna unachopanda.

And by the way, huyu Biswalo unayemlalamikia sasa hivi ni judge, sasa sijui kwanini uhangaike na marehemu wakati hata huyu aliyepo bado anamuona Biswalo anafaa, punguza ujinga kichwani.
Umbwa wewe sukumagang mshenzi kabisa! Wacha kutishia watu Nyau, Lile Lucifer Magufuli lilikuwa lazima life kifo kibaya zaidi ya hicho kibudu lilivyodanja!
Huwezi kutenda maovu ya kiwango kile ukabaki sala hata kidogo, kwanza Mungu hapendi na pili tarehe ilikuwa inasogea lingezuia kitu Cha moto kichwani kama sio kifuani umbwa Lile, lirundi lihamiaji haramu!
Utaendeshaje nchi kama duka la baba yako, ukatili wa kupindukia, wizi, unyanganyi, mauaji na uporaji wa Mali halali za watu!

Leo hii utwambie tusiliseme kwa Nini, si liliandika kitabu chake Cha maovu kwa hiyari yake lenyewe limbukeni Lile linazunguka mabarabarani na masanduku ya pesa likigawa pesa!

Tutalisema na huna la kufanya nipo hapa Nakapanya njoo unikabili kama ni mwanaume lijali bwabwa wewe! Msengerema mchafu! Unaliwa Kiboga!
 
Umbwa wewe sukumagang mshenzi kabisa! Wacha kutishia watu Nyau, Lile Lucifer Magufuli lilikuwa lazima life kifo kibaya zaidi ya hicho kibudu lilivyodanja!
Huwezi kutenda maovu ya kiwango kile ukabaki sala hata kidogo, kwanza Mungu hapendi na pili tarehe ilikuwa inasogea lingezuia kitu Cha moto kichwani kama sio kifuani umbwa Lile, lirundi lihamiaji haramu!
Utaendeshaje nchi kama duka la baba yako, ukatili wa kupindukia, wizi, unyanganyi, mauaji na uporaji wa Mali halali za watu!

Leo hii utwambie tusiliseme kwa Nini, si liliandika kitabu chake Cha maovu kwa hiyari yake lenyewe limbukeni Lile linazunguka mabarabarani na masanduku ya pesa likigawa pesa!

Tutalisema na huna la kufanya nipo hapa Nakapanya njoo unikabili kama ni mwanaume lijali bwabwa wewe! Msengerema mchafu! Unaliwa Kiboga!
Duuuuu!!!!
 
Hii inanikumbusha jamaa mwenye darubini ambaye angeweza kuwataarifu wenzake kuhusu majanga yanayokuja hapo mbele na maharamia waliopo sasa wanavyopora na kudokoa mali ya wenzake alikuwa anaangalia nyuma jinsi maharamia walivyopora na majanga waliyoyaacha....., wakati huo huo uporatji unaendelea hata pale aliposimama... Nadhani hawa maharamia wa sasa atawaangalia na kukumbushia siku majanga yakishapita... .

Jamaa huyo hakuwa na busara ya kuangalia ya sasa na kuyakwepa / kuyazuia / kutaarifu wenzake hata kama ni kuangalia nyuma iwe by the way (na kukumbushia)...

Thinking about it ilikuwa giza na sikumuangalia vizuri huyo jamaa huenda maharamia wa sasa ni kundi lake na anafaidika na uporaji..... Sababu sidhani kama ni kipofu kiasi hiki
 
Kwhiyo ukweli ukisemwa unapata uchungu wa mimba changa?.
"...Mtu mmoja wa kanda ya Ziwa..."

Wewe mtu una matatizo mengi sana, huu ujinga wako wa kuhangaika na marehemu kila siku, sasa naona unaenda kutengeneza tatizo lingine la ukanda.

Nikushauri kitu kimoja, ukiwa unaimba haya mapambio yako ya kijinga ujiwekee mipaka, kujidai kwako mjanja kumsema vibaya marehemu kwa kumtafutia kila neno baya, mwishowe utavuna unachopanda.

And by the way, huyu Biswalo unayemlalamikia sasa hivi ni judge, sasa sijui kwanini uhangaike na marehemu wakati hata huyu aliyepo bado anamuona Biswalo anafaa, punguza ujinga kichwani.
 
Umbwa wewe sukumagang mshenzi kabisa! Wacha kutishia watu Nyau, Lile Lucifer Magufuli lilikuwa lazima life kifo kibaya zaidi ya hicho kibudu lilivyodanja!
Huwezi kutenda maovu ya kiwango kile ukabaki sala hata kidogo, kwanza Mungu hapendi na pili tarehe ilikuwa inasogea lingezuia kitu Cha moto kichwani kama sio kifuani umbwa Lile, lirundi lihamiaji haramu!
Utaendeshaje nchi kama duka la baba yako, ukatili wa kupindukia, wizi, unyanganyi, mauaji na uporaji wa Mali halali za watu!

Leo hii utwambie tusiliseme kwa Nini, si liliandika kitabu chake Cha maovu kwa hiyari yake lenyewe limbukeni Lile linazunguka mabarabarani na masanduku ya pesa likigawa pesa!

Tutalisema na huna la kufanya nipo hapa Nakapanya njoo unikabili kama ni mwanaume lijali bwabwa wewe! Msengerema mchafu! Unaliwa Kiboga!
Baelezee papaa, team Jiwe ilikuwa ni kikosi Cha shetani
 
Hii hali ya Kikanda na Ukabila Mnayo Ichochea Haita wafaidisha Bali itakuja Kuwatokea Puani nahata Kujutia
Pengine nyie au vizazi vyenu.
Na Hii hali ya kila Jambo Baya likitokea Kivuli chenu cha kujifichia ni Marehemu Haita wasaidia
Kufa kila mwanadamu Atakufa Wengine mnaleta Kejeli kwa Kifo chamtu Niakili zakipumbavu na Ujuha!
Kama lilikuwa jitu la hovyo, lazima tuseme
 
Hawa hapa washirika wa Magufuli kwa majina:
1. BISWALO MGANGA
2. WANKYO SIMON
3.ABDALLAH CHAVULA
4. RENATUS MKUPA
5. PAUL KADUSHI
6.MARTENUS MARANDU

Hawa jamaa walikamua sana fedha za watuhumiwa wa plea bargain
Mwingine anaitwa Faraja Nchimbi, kwa Sasa ni bilionea kuliko mtu anayefata mzigo China au Uingereza, nyumba kaficha kwa majina ya ndugu zake
 
Mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere amebaini kuwa aliyekuwa Mkurugenzi wa mashitaka (DPP), Biswalo Mganga na maafisa wake walikiuka taratibu za mchakato wa kisheria wa makubaliano ya kukiri kosa (plea bargaining).

CAG amesema mchakato huo ulikuwa na matumizi ya nyaraka bandia, matumizi mabaya ya madaraka na watu kuchukuliwa fedha zao katika masuala ya kikodi ambayo si jinai. CAG amebainisha kuwa malipo Tsh bilioni 8.26 yalifanywa na washtakiwa bila ya kuwepo na 'Plea bargaining’.


"Hali hii inaonyesha uwepo wa ukiukwaji wa Kanuni namba 12 na 14 za Kanuni za Mwenendo wa Makosa ya Jinai (makubaliano ya kukiri kosa) za mwaka 2021, ambao unaleta shaka juu ya uwazi na uadilifu katika mchakato wa kukiri makosa." CAG Charles Kichere

MY TAKE:

Yaani tu anajinyima anatafuta hela anapeleka Benki halafu mtu mmoja wa Kanda ya ziwa anaenda Benki kuzichukua. Anajifanya kukushitaki ili apate uhalali wa kchukua account yote kabla hata hukumu haijasomwa.

Yafaa Biswalo Maganga aondolewe Ofisi za Umma kisa afungwe jiwe kubwa shingoni atumbukizwe Baharini. Magufuli alipokufa Biswalo alikuwa anatabasamu tu, alijua kabaki na Mzigo
View attachment 2580396
Awamu ya tano imepeleka wapi haya Mabilioni? Ndo maana Biswalo na Magufuli walikuwa Marafiki sana. Wakamuita Polepole wakampa hela akaanza kuzitawanya kwa Wanasiasa wa Upinzani.
View attachment 2580395
Siku ukijua ukweli juu ya JPM itajilaumu maisha yako yote
 
Back
Top Bottom