chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,225
- 20,997
Yule alikuwa mrundi, Kanda ya ziwa hakuna wezi.Huyu bwana sio mjinga tu,bali ni MPUMBAVU. Makala zake zoote ni kuhusu kumkashifu jpm,ni mtu ambaye nadhani hata maadili yake ni ya kutilia mashaka.
Yaani yeye na jpm,yeye na kanda ya ziwa.huo ni upumbavu wa kiwango cha juu sana,hebu chunguza makala zake zoote ni kuhusu jpm na kanda ya ziwa,sio kuhusu ccm.hapo ndipo unajua kuwa huyu ni mpumbavu,hajui kama samia alikuwa ni makamu wa rais,majaliwa alikuwa ni waziri mkuu,na mpango waziri wa fedha.kwa hiyo kilichofanhika awamu ya tano,huwezi kukitenganisha na awamu ya sita.japo awamu ya tano ilikuwa ni bora zaidi kuliko huu ujinga unaofanyika hii awamu ya sita.