Ukweli ndugu zangu, kila nikihangalia naona Mheshimiwa Al Marhemu Magufuli ni kama ameondoka na neema zake kwani hata radhi yalikuwa hayatusumbui. Je hii serikali iliyoingia na kurithi madaraka imeingia na nuksi au ina nuksi?
Karibu Tanzania itakuwa nchi hatarishi kutokana na gonjwa la Korona linavyozagaa na habari za mitaani ni kuwa watu wanapukutika vibaya sana? Je hii ni nuksi ya serikali iliyopo?
Pia inawezekana ni laana ya uchaguzi uliyopita maana wananchi waliilaani na kuomba dua nzito nzito kuiangamiza CCM na tumeona viongozi wa CCM wakiaga dunia haraka haraka mmoja baada ya mwingine.
Nina wasiwasi na maono kwa kila atakaepokea kijiti hakutakuwa na faida zaidi ya vilio na kusaga meno, CCM uchaguzi uliopita mlifanya kufuru kubwa sana, Mlisahau kuwa watanzania si wazungu, hapa watu wanategemea Mwenyezi Mungu zaidi kuliko serikali.
Kuna habari wengi wa wanaofariki na korona ni kutoka Chama Cha CCM wakiwemo viongozi wao.
Karibu Tanzania itakuwa nchi hatarishi kutokana na gonjwa la Korona linavyozagaa na habari za mitaani ni kuwa watu wanapukutika vibaya sana? Je hii ni nuksi ya serikali iliyopo?
Pia inawezekana ni laana ya uchaguzi uliyopita maana wananchi waliilaani na kuomba dua nzito nzito kuiangamiza CCM na tumeona viongozi wa CCM wakiaga dunia haraka haraka mmoja baada ya mwingine.
Nina wasiwasi na maono kwa kila atakaepokea kijiti hakutakuwa na faida zaidi ya vilio na kusaga meno, CCM uchaguzi uliopita mlifanya kufuru kubwa sana, Mlisahau kuwa watanzania si wazungu, hapa watu wanategemea Mwenyezi Mungu zaidi kuliko serikali.
Kuna habari wengi wa wanaofariki na korona ni kutoka Chama Cha CCM wakiwemo viongozi wao.