CCM ya sasa wako smart sana, Wamegeuza misingi yote iliyowekwa na Mwalimu JK Nyerere kwa Manufaa yao. Nalazimika kuamini kuwa kazi ya kuing'oa CCM itakuwa kubwa na Ngumu sana kukabiliana nao. kwa hali ilivyo sasa Multinational Cooporations (MNCs) zinazofaidi rasilimali zetu huwa zinaichangia CCM kiasi kutoka kwenye mapato yao kama ifuatavyo:-
1. Dhahabu 10% inakwenda CCM
2. Nickel 3% inakwenda CCM
3. Uranium 2% inakwenda CCM
4. Gesi 5% inakwenda CCM
5. Tanzanite 1% inakwenda CCM
6. Rubby 1% inakwenda CCM
7. Makaa ya Mawe 4% inakwenda CCM
8. Chuma 2% inakwenda CCM
kunauwezekano mkubwa 2015 watatoa kiasi kikubwa zaidi...Kwa umasikini huu tuliokuwa nao watanzani, nachelea kusema kuwa fedha hizo zinatosha kununua kura zote isipokuwa za wachache wa CDM..
Pengine M4C ndiyo programu muafaka ya kukabiliana na nguvu ya mataifa makubwa, Niwakati sasa wa M4C kuja na mkakati makini endelevu yenye kuwajenga watanzania kisaikolojia zaidi ikiwa ni pamoja na kuwahabarisha game linalichezwa na haya Mataifa makubwa yanayonyonya rasilimali zetu thru makuwadi walioko CCM...
Kazi ya kuikomboa nchi yetu ili rasilimali zitunufaishe Watanzania wote na vizazi vyetu vijavyo ni kubwa, Ngumu, Yahitaji Moyo wa kutokukata tamaa...CCM imeshageuka MBWA mwenye kichaa, Haimjui Mmiliki wake, badala ya kulinda inawadhuri ina ng'ata na kuambukiza ugonjwa mbaya, tiba yapekee ni sindano 60 kwenye kitovu(2015)...shime tuungane kumua huyu Mbwa mwenye kichaa kabla haja leta madhara zaidi...