Haya yalisemwa 1958 leo yametimia...

Haya yalisemwa 1958 leo yametimia...

Ukweli hauna umri. Mwl. Nyerere will always be spot-on in that issue.
 
Wakati wa utawala wa huyu mzee kulikuwa na shida sana mpaka sabuni ya kuongea/kufulia, kulikuwa hakuna.

Kwa kuletewa sabuni, mafuta,sukari (pamoja na kuwa hapa TZ vinazalishwa),ndio yachotwe madini,Ardhi iuzwe kiholela,athaminiwe mchina na makabaila wa ulaya kuliko mzawa/mzalendo?,Mh chama sumu kime kuathiri sana.
 
Na nyingine hii hapa;
´´Kwa ugonjwa huu, nitakufa, Watanzania wale watalia sana. Mimi nitawaombea kwa Mungu´´


 
Wakati mwenzake aliwaza mbele,huyu wa sasa JK anawaza kinyume nyume!R.I.P Baba wa Taifa.
 
Uuuwi!!! Unabii umetimia! MUNGU shuka sasa uko uliko utuinulie kiongozi na si mtawala wala dikteta ,futa tabaka tawala lote! Tuletee viongozi kabla grace period ya sisiem haijaishaa!
 
Na aliiacha hadhina ikiwa empty kabisa kiasi kwamba Mzee Ruksa alitumia jitihada kubwa kuijaza then Ben akajineemesha! Tanzania ni zaidi ya uijuavyo!

Sina uhakika sana kama unaifahamu nchi hii vizuri, labda kidogo nikukumbushe kwamba katika awamu nne za urais yafuatayo tuliyaona:
  1. Kipindi cha kujenga nchi baada ya ukoloni, kiliambatana na wananchi kufunga mikanda, nadhani unaelewa ilimaanisha nini.
  2. kipindi cha ruksa, kilichoambatana na watu kuacha kazi serikalini na kuanzisha shughuli/biashara binafsi, labda unaelewa ilimaanisha nini?
  3. Utandawazi na Ubinafsishaji kwa kasi kubwa, walioacha kazi serikalini walitamani kurudi, jenga hoja kichwani mwako unadhani ni kwa nini?
  4. Oh My God! Serikali haina fedha, wananchi walio wengi hawana fedha, ufisadi umeota mizizi, tumebaki kulalamika tu kutokana na uduni wa elimu yetu.
tafakari kwa makini utanielewa ni nini ninachomaanisha, wenzako tuliendesha maisha kwa kuuza sigara kwenye vipakti wakati serikali inashindwa kuwalipa wafanyakazi wake.
 
Nyerere-Quote.jpg

CCM wamekiuka misingi yote aliyoisimamia baba Wa taifa. Hawana tena mandate ya kutawala nchi hii
 
Hivi kwanini wana-ccm wa zama hizi hawampendi mwalimu nyerere?
 
It will take us a very long time, if not centuries to understand what he meant..
Remember what he said on exploiting our mines and other resources, even before commenting on those who are rushing for the presidency (IKULU).
Now coming the TITANIC of next "president"!
Nyerere must have turned over in his grave.
RIP Julius Kambarage Nyerere
 
Hivi kwanini wana-ccm wa zama hizi hawampendi mwalimu nyerere?

ndugu we, hawa ccm wa sasa ni majizi na matapeli tena wabaguzi wa udini kwa raia wake, sera yao hii ya sasa inapingana vikali na seraza julius kiasi kwamba zinawatilia kauzibe flani hivi.
 
Mtu pekee anayeweza kuliondoa taifa hili kwenye tope la Rushwa na kulipeleka kwenye haki baada ya Mwl Nyerere(R.I.P) ni Dk Slaa pekee....kama hutaki basi!
 
Sina uhakika sana kama unaifahamu nchi hii vizuri, labda kidogo nikukumbushe

tafakari kwa makini utanielewa ni nini ninachomaanisha,

wenzako tuliendesha maisha kwa kuuza sigara kwenye vipakti wakati serikali inashindwa kuwalipa wafanyakazi wake.

Mkuu umenikumbusha mbali sana hasa hapo kwenye kuuza sigara, kipindi hicho ukizungumzia sigara zitakuwepo madukani kama bidhaa nyingine watu waliona unayabiri vitu ambavyo haviwezekani. Ilikua haina tofauti na kuzungumzia barabara ya rami hadi mtwara au daraja la kwenda kigamboni kwa sasa.
 
Back
Top Bottom