Haya yalisemwa 1958 leo yametimia...

Haya yalisemwa 1958 leo yametimia...

Nchi iliacha kuzalisha.

As a country, how did we survive then? You know very well if you don't produce, you won't have anything to eat. Kwa taarifa yako hakuna siku, watanzania walioacha kuzalisha. Wakati viwanda vya serikali viliposhindwa kutengeneza sabuni, watu walitengeneza sabuni wa kutumia njia walizoelewa.
 
As a country, how did we survive then? You know very well if you don't produce, you won't have anything to eat.
Ni kweli, lakini hata wewe leo ukifukuzwa kazi bado unaweza weka TV yako rehani ili kupata pesa ya mlo wa siku mbili tatu, kwahiyo tuliponea chupuchupu kufilisika kwasababu nchi ilikuwa na mali, wajanja wakaanza kuuza maliasili kuokoa jahazi. Yaani waliuza mpaka akiba ya dhahabu lakini kama mwalimu asingeacha akiba yoyote ile (ardhi, madini, n.k) tungekuwa padaya sana.


Kwa taarifa yako hakuna siku, watanzania walioacha kuzalisha. Wakati viwanda vya serikali viliposhindwa kutengeneza sabuni, watu walitengeneza sabuni wa kutumia njia walizoelewa.
Ni kweli, lakini si kwa kiwango cha juu, huwezi fananisha uzalishaji wa kiwandani na ule wa nyumbani.
 
Ni kweli, lakini hata wewe leo ukifukuzwa kazi bado unaweza weka TV yako rehani ili kupata pesa ya mlo wa siku mbili tatu, kwahiyo tuliponea chupuchupu kufilisika kwasababu nchi ilikuwa na mali, wajanja wakaanza kuuza maliasili kuokoa jahazi. Yaani waliuza mpaka akiba ya dhahabu lakini kama mwalimu asingeacha akiba yoyote ile (ardhi, madini, n.k) tungekuwa padaya sana.



Ni kweli, lakini si kwa kiwango cha juu, huwezi fananisha uzalishaji wa kiwandani na ule wa nyumbani.


Akiba iliyo ardhini has no values whatsoever. You can't sell it or use it to buy anything. So with that in mind, Nyerere didn't leave anything.

Concerning kuponea chupuchupu, you are reinventing history. Watanzania wako kwenye transition kutoka kwenye traditional lifestyle to modern. Hivyo kukitokea matatizo mara nyingi tu-revert kwenye maisha yetu ya jadi. Hivyo uchumi ulipoharibika kutokana na siasa sahihi za kijamaa, watu walianza kurudi kutumia vitu mbadala. Kwa mfano, walipokosa chai, walikunywa uji. Walipokosa mkate walikula viazi na mihogo.

Pili misaada kutoka nje iliongezeka kuziba pengo la mapato ya serikali. Hivyo vitu unavyosema kuwa Nyerere aliviweka akiba na vilitusaidia, havikuwepo. Alivyotuachia ni kitabu cha azimio la arusha, ccm, na ujamaa.
 
Akiba iliyo ardhini has no values whatsoever. You can't sell it or use it to buy anything. So with that in mind, Nyerere didn't leave anything.

Concerning kuponea chupuchupu, you are reinventing history. Watanzania wako kwenye transition kutoka kwenye traditional lifestyle to modern. Hivyo kukitokea matatizo mara nyingi tu-revert kwenye maisha yetu ya jadi. Hivyo uchumi ulipoharibika kutokana na siasa sahihi za kijamaa, watu walianza kurudi kutumia vitu mbadala. Kwa mfano, walipokosa chai, walikunywa uji. Walipokosa mkate walikula viazi na mihogo.

Pili misaada kutoka nje iliongezeka kuziba pengo la mapato ya serikali. Hivyo vitu unavyosema kuwa Nyerere aliviweka akiba na vilitusaidia, havikuwepo. Alivyotuachia ni kitabu cha azimio la arusha, ccm, na ujamaa.
Zakumi,
Wala misamiati hii haujawahi kuisikia? Buzwagi, GGM, Tulawaka, Songosongo, MnaziBay, Barrick, Buhemba, Vitalu vya uwindaji,...
 
Last edited by a moderator:
Akiba iliyo ardhini has no values whatsoever. You can't sell it or use it to buy anything. So with that in mind, Nyerere didn't leave anything. .
Nitachukulia kama unaleta utani hapa.

Concerning kuponea chupuchupu, you are reinventing history. Watanzania wako kwenye transition kutoka kwenye traditional lifestyle to modern. Hivyo kukitokea matatizo mara nyingi tu-revert kwenye maisha yetu ya jadi. Hivyo uchumi ulipoharibika kutokana na siasa sahihi za kijamaa, watu walianza kurudi kutumia vitu mbadala. Kwa mfano, walipokosa chai, walikunywa uji. Walipokosa mkate walikula viazi na mihogo..

Sasa hapa unaongelea uchumi wa wote kwa pamoja (nchi) au wa mtu mmoja mmoja?

Pili misaada kutoka nje iliongezeka kuziba pengo la mapato ya serikali. Hivyo vitu unavyosema kuwa Nyerere aliviweka akiba na vilitusaidia, havikuwepo. Alivyotuachia ni kitabu cha azimio la arusha, ccm, na ujamaa.

Misaada tuliipata toka kipindi cha nyerere, kwahiyo hoja yako kuwa misaada ndiyo iliyotunusuru haina tija. Nchi haiwezi kuendelea kwa misaada pekee. Hiyo misaada yenyewe unayoisema inahitaji masharti magumu, ikiwapo kuruhusu uuzwaji holela wa mali ya taifa (NBC, Viwanda, Migodi). Narudia tena kama Nyerere asingetunza mali hizi tusingepona.
 
Je ni kweli kwamba tumefika pahali hatuoni tena mbele? Hii ni hatari kweli kweli! kama tunashindwa kusimamia misingi ya maendeleo yetu wenyewe! Tukumbuke kuwa mtu hataishi milele lakini misingi itakuwepo daima!
 
Nitachukulia kama unaleta utani hapa.



Sasa hapa unaongelea uchumi wa wote kwa pamoja (nchi) au wa mtu mmoja mmoja?



Misaada tuliipata toka kipindi cha nyerere, kwahiyo hoja yako kuwa misaada ndiyo iliyotunusuru haina tija. Nchi haiwezi kuendelea kwa misaada pekee. Hiyo misaada yenyewe unayoisema inahitaji masharti magumu, ikiwapo kuruhusu uuzwaji holela wa mali ya taifa (NBC, Viwanda, Migodi). Narudia tena kama Nyerere asingetunza mali hizi tusingepona.

NBC wasn't taking more subsidies from the national coffer than what it could produced. So you couldn't call it mali ya taifa. The same applies to viwanda na migodi.

Concerning international aid, the dependency of foreign aid in 1961 was 9%. However, by 1985, the level reached new heights, a whopping 50%. Nyerere kama angekuwa mtunza mali, asingetupeleka kwenye sera za kutegemea misaada ambayo baadaye yamekuwa na masharti.

Nyerere hakutunza mali yoyote. Mbuga za wanyawa zipo, na Nyerere hakufanya juhudi zote za kuendeleza utaii. Migodi iliyokuwepo alitaifisha na kuwapa wazalendo wasio na akili za kuiongoza.
 
Zakumi,
Wala misamiati hii haujawahi kuisikia? Buzwagi, GGM, Tulawaka, Songosongo, MnaziBay, Barrick, Buhemba, Vitalu vya uwindaji,...

Wakati wanafanya hayo mambo where were you? It seems to me that Tanzanians are being robbed in broad daylight, but the only fight they put is to show an outdated political manifesto.
 
NBC wasn't taking more subsidies from the national coffer than what it could produced. So you couldn't call it mali ya taifa. The same applies to viwanda na migodi.
Kuwa mali ya Taifa siyo lazima gharama itoke kwa wananchi moja kwa moja inawezekana kabisa gharama ikatoka kwenye vyanzo vigine vya serikali.

Concerning international aid, the dependency of foreign aid in 1961 was 9%. However, by 1985, the level reached new heights, a whopping 50%. Nyerere kama angekuwa mtunza mali, asingetupeleka kwenye sera za kutegemea misaada ambayo baadaye yamekuwa na masharti.

Hiyo 9% ni nani waliofaidika? Unataka kuniambia mwaka '61 kulikuwa na mgawanyo sawa wa keki ya Taifa?

Nyerere katika hotuba zake aliwahi kusema alitumia hiyo misaada ili kusomesha watanzania bure, wengi wao bila Nyerere wasingejua hata 'A' ni nini, achilia mbali kupeleka watoto wao mtoni. Ulikuwa ni mpango mzuri kuelimisha wananchi kwanza kwa gharama yoyote ili watoto wao waweze kunufaika na matunda ya uhuru.


Nyerere hakutunza mali yoyote. Mbuga za wanyawa zipo,
Hapa sijakuelewa

...na Nyerere hakufanya juhudi zote za kuendeleza utaii. Migodi iliyokuwepo alitaifisha na kuwapa wazalendo wasio na akili za kuiongoza.

Malengo hayakuwa kuboresha utalii bali kufuta ujinga kwanza, kujenga nchi pamoja na kuwaunganisha watu. We angalia tuu majirani zetu utagundua kuwa hawana umoja kwa wetu, wanachinjana kama kuku kisa makabila. Bila umoja nchi haiwezi kuendelea.

Hata hivyo, naona mwenzetu umeshasahau msemo wetu wa kiswahili kuwa , "akiba haiozi" Hivi Nyerere angekuwa mlafi kama baadhi ya viongozi wa enzi zile unafikiri hizo mbuga zinge kuwepo? Si angejipigia pande pamoja na rafiki zake? Halafu sisi akina yakhe tungeishia kutazamana tuu! Wewe ona Mkapa alivyouza nchi mchana kweupe kwa miaka mitano tuu, unafikiri Nyerere angekuwa mlafi angeshindwa, tena kipindi kile watu wengi walikuwa hawajaelmika?
 
Kuwa mali ya Taifa siyo lazima gharama itoke kwa wananchi moja kwa moja inawezekana kabisa gharama ikatoka kwenye vyanzo vigine vya serikali.

Hiyo 9% ni nani waliofaidika? Unataka kuniambia mwaka '61 kulikuwa na mgawanyo sawa wa keki ya Taifa?

Nyerere katika hotuba zake aliwahi kusema alitumia hiyo misaada ili kusomesha watanzania bure, wengi wao bila Nyerere wasingejua hata 'A' ni nini, achilia mbali kupeleka watoto wao mtoni. Ulikuwa ni mpango mzuri kuelimisha wananchi kwanza kwa gharama yoyote ili watoto wao waweze kunufaika na matunda ya uhuru.



Hapa sijakuelewa



Malengo hayakuwa kuboresha utalii bali kufuta ujinga kwanza, kujenga nchi pamoja na kuwaunganisha watu. We angalia tuu majirani zetu utagundua kuwa hawana umoja kwa wetu, wanachinjana kama kuku kisa makabila. Bila umoja nchi haiwezi kuendelea.

Hata hivyo, naona mwenzetu umeshasahau msemo wetu wa kiswahili kuwa , "akiba haiozi" Hivi Nyerere angekuwa mlafi kama baadhi ya viongozi wa enzi zile unafikiri hizo mbuga zinge kuwepo? Si angejipigia pande pamoja na rafiki zake? Halafu sisi akina yakhe tungeishia kutazamana tuu! Wewe ona Mkapa alivyouza nchi mchana kweupe kwa miaka mitano tuu, unafikiri Nyerere angekuwa mlafi angeshindwa, tena kipindi kile watu wengi walikuwa hawajaelmika?

Nyerere kama alikuwa anajua kutunza mali ya taifa, asingetuwekea Mkapa. Na hoja yako yote ya utunza mali inaishia hapo.
 
Wakati wa utawala wa huyu mzee kulikuwa na shida sana mpaka sabuni ya kuongea/kufulia, kulikuwa hakuna.

Watu wengine wa ajabu sana, lakini wale wanaounga mkono hoja zenu hizi za kipuuzi ndio wa ajabu zaidi kwani ni nyinyi ndio mnawafundisha, hawafundishwi na historia. Mtaongea sana to justify ubora wa utawala wenu lakini chema chajiuza, kibaya chajitembeza; Nakushauri uanzishe uzi wako maalum wa kumshambulia mwalimu huku ukisifia utawala wenu ili tupate fursa ya kujadili mafanikio na mapungufu ya uongozi wa mwalimu na utawala wenu, hii itatupa fursa ya kupambana kwa hoja badala ya viroja vyenu based on 'smear attacks' kwa mwalimu ambazo zimetuchosha sasa kwani zimejaa harufu ya udini na upuuzi wote ambao nyinyi mmekuwa mabingwa to manipulate jamii fukara ya watanzania for your own gain;
 
Mungu hawatupi waja wake, katupatia mrithi wa Nyerere, JPM atarudisha ardhi yote mikononi mwa wenye nayo
 
Back
Top Bottom