Haya ya Rufiji ni kuichokoza nchi

Haya ya Rufiji ni kuichokoza nchi

Lakini kuteka watanzania hamuongelei ili la maaskari ccm ndio mnatoa macho
Bring back Benn


Swissme
Kama we kweli huzungumzii kutekwa kama suala la kisiasa kwa nini usizungumzie na hili ili kujitofautisha na wengine..je kama waliowatishia hao wanasiasa wako na kumteka Ben ndio hawa hawa?? Shida yenu mpo kisiasa sana.
 
Yesu alijaribiwa alikufa km tunavoadhimisha leo ijumaa kuu akazikwa na alifufuka cku ya tatu.....
Magufuli wetu hajaribiwi......
TUNASUBIRI MIUJIZA YAKE
 
Ungekuwa na wazazi ungekuwa unachangia hoja lakini wewe sijui kama umepata baraka za wazazi Wengi ni watoto wa magesti wasiokuwa na maadili


Swissme
Mkuu mbona povu hivo. Kwan ni uongo kuwa huyo mtu ana tabia ya kuteka na ni mzoefu tangu alivokuwa Kile chama kingine.

Mrudishen tu Ben. Dili limeshabuma.
 
Ukweli tumevamiwa. Walimteka Ulimboka halafu Kibanda, wamemteka Saanane, walijaribu kumteka Nape ila Kitenge akasevu, Wamemteka Roma mkatoliki na sasa wanaua watu huko Pwani. Hatukuzoea mambo haya. Sio utamaduni wetu. Ni akina nani hao? Wanatoka wapi? Nani yuko nyuma yao? Kuna mtu anajali? Bunge limekataa kujadili msmbo hayo.
 
Back
Top Bottom