Kwa maoni yangu, tatizo sio kukamatwa kwa wale askari watatu, kinachotakiwa kufanywa ni KUTOKOMEZWA kabisa tabia ya kibaguzi ya vyombo vya usalama vinapo deal na watu weusi na pale inapo deal na watu weupe
Kuwe na usawa, kila mtu ashugulikiwe kwa haki, pale inapobainika / kuhisiwa kuwa kafanya kosa bila ya kujali rangi yake