Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,813
- 29,452
Mh hapo kwa world bank..namashaka napo. According to last report hawakusema 7%..
It was something else
It was something else
World bank - uchumi wa Tz unakua kwa 7%.
AFDB- uchumi wa Tz unakuwa kwa 7%.
IMF - Uchumi wa Tz unakuwa kwa 4%.
Hapo nyumbu na Zitto watakuambia data sahihi ni zile tu ambazo hazionyeshi kuna maendeleo Tz.