Yale ya IMF yalitamkwa na naniYametamkwa na rais wa ADB
Yale ya IMF yalitamkwa na naniYametamkwa na rais wa ADB
Pesa za ujanja ujanja ni kweli hazipo,za halali zipo mkuu,tena nyingi sana tuHali ya fedha ni ngumu huku mtaani. Haiitaji ubobezi wa IMF kujua hali ni ngumu sana
Mpaka sasa inaonekana kunahujuma ilipangwa na IMF kuihujumu Tanzania dhidi ya takwimu za kiuchumi,
Naipongeza serikali kwa kushitukia mchezo huo mchafu,kwa kutoichapisha ripoti hiyo,IMF walitaka tujikaange kwa mafuta yetu wenyewe.
Hili limethibishwa leo ikulu na kiongozi mwandamizi kabisa wa bank ya ADB ,amesema uchumi wetu unakua vizuri na unatarajiwa kukua vizuri kwa asilimia 6 mpaka 7.
Nzuri zaidi ni mwafrika mwenzetu.
Nategemea Zitto ajitokeze na kundi lake kumpinga kiongozi huyu mbobezi wa masuala ya kiuchumi .
Mwisho, ni nani wako nyuma ya hujuma hii dhidi ya nchi yetu?,na nini lengo lao?
IMF inaweza kuhujumu nchi maskini kama hii Tanzania?
Individual personsMwisho, ni nani wako nyuma ya hujuma hii dhidi ya nchi yetu?
Hujui na huta jua asilaniAjabu! Mtu anaekulisha na kukuvisha na anajua hadi uvungu wa kitanda chako akuhujumu kwa kipi ulichonacho? Ili apate nini ambacho hajakipata bado?!
Hujui na huta jua asilani
Kwamba uchumi unatarajiwa kukua kwa asilimia 6 au 7. Maana yake umekuwa kwa chini ya asilimia 6 au unasemaje Mzee Mwanakijiji?We utakuwa wa kizazi Cha WhatsApp!! Kwani IMF wajomba zetu?
Of course siwezi kujihangaisha kujua vitu ambavyo ni propaganda za kipuuzi. Utahujumiwaje na organization ambayo wewe ni mwanachama wake na ulijiunga mwenyewe kwa hiari yako? Na kama kweli unahujumiwa na parent entity subsidiary entity itakusaidiaje kwa mfano?
Naona wamiliki wakubwa wa migodi nchini walitaka kumdeshi Magufuli kwa Kutumia IMF,Magufuli akaiona hiyoIndividual persons
Wako Tweater, wako Bloombergs, wako The Economist, wako IMF, na nk.
Na Champion 'kinara' yuko A.C.T Wazarendo
Ndio maana jamaa anakwambia hujui na hutojua,jifunze historia ya haya mashirika kuanzishwa kwake na malengo yaliojificha ,Of course siwezi kujihangaisha kujua vitu ambavyo ni propaganda za kipuuzi. Utahujumiwaje na organization ambayo wewe ni mwanachama wake na ulijiunga mwenyewe kwa hiari yako? Na kama kweli unahujumiwa na parent entity subsidiary entity itakusaidiaje kwa mfano?
Aheri mimi nashinda humu jf kuliko anayeshinda kuwasikiliza wenye kutetea ugonjwa kuwa sio ugonjwa. Mficha jipu litamuumbua tu.Fanyakazi mkuu utayaona maendeleo usishinde humu tu JF na kubaki kulalamika tu! Hapa Kazi Tu.
Hahaha, kaka hii article iko edited hii stori ni kuhusu India sio Afrika, Afrika wakati huo bado tunavaa ngozi, tunawinda na mishale na mikuki, sasa omba omba atokee wapi...Wazungu wamekuwa wakihujumu Afrika tangu karne ya 17 mkuu cheki hapa chini.View attachment 1098686
Taaratibu wataelewa tu. Hata habari ya Bandari kule Bagamoyo wataelewa vizuri tu. Harufu ya bangi haitazuia ibada kusonga….Naona wamiliki wakubwa wa migodi nchini walitaka kumdeshi Magufuli kwa Kutumia IMF,Magufuli akaiona hiyo
Mpaka sasa inaonekana kunahujuma ilipangwa na IMF kuihujumu Tanzania dhidi ya takwimu za kiuchumi,
Naipongeza serikali kwa kushitukia mchezo huo mchafu,kwa kutoichapisha ripoti hiyo,IMF walitaka tujikaange kwa mafuta yetu wenyewe.
Hili limethibishwa leo ikulu na kiongozi mwandamizi kabisa wa bank ya ADB ,amesema uchumi wetu unakua vizuri na unatarajiwa kukua vizuri kwa asilimia 6 mpaka 7.
Nzuri zaidi ni mwafrika mwenzetu.
Nategemea Zitto ajitokeze na kundi lake kumpinga kiongozi huyu mbobezi wa masuala ya kiuchumi .
Mwisho, ni nani wako nyuma ya hujuma hii dhidi ya nchi yetu?,na nini lengo lao?
Ndio maana jamaa anakwambia hujui na hutojua,jifunze historia ya haya mashirika kuanzishwa kwake na malengo yaliojificha ,
Hata wewe huwezi mtilia maanani sisimizi mpaka afinye pumb ndani ndani huko.Ajabu! Mtu anaekulisha na kukuvisha na anajua hadi uvungu wa kitanda chako akuhujumu kwa kipi ulichonacho? Ili apate nini ambacho hajakipata bado?!
Hii ni tajiri sana ,tunapambana namna ya ku exploit rasilimali zetu zitunufaishe,kuhusu utajiri ulioko ardhini kuna baadhi ya nchi ulaya hazina