Haya sasa, nani mkweli na nani anaihujumu Tanzania kati ya ADB na IMF?

Rudia tena kusoma ulikiandika.Unapoanzisha habari lazima ulete habari za kiuchambuzi na uwe umeielewa hasa.
Si kila habari inayokuja hapa ni ya kiuchambuzi,zingine ni chokoza mada then wadau wanachambua kwa kushindanisha hoja
 
Nilitaka ufikiri zaidi ya kile kinachosemwa na watu.Ni muhimu kufahamu Haya mambo kwa undani.Ukiyaelewa vyema hayakusumbui.
 
Zimefungwa biashara 16,000 malizia pia ngapi zmefunguliwa?

Shinda JF tu uone Kama choo itajaa

Tatizo mnakuja kishabiki hamtumii medula oblongata kufikiria fursa za kutatua matatizo ya jamii mkapata hela
Mkuu zile za leseni ya machinga mbona nyingi tu zimefunguliwa, akili mukichwani kwako.
 
The World Bank-IMF is owned and controlled by Nathan Mayer Rothschild and 30 to 40 of the wealthiest people in the world. For over 150 years they have planned to take the world over through money

IMF and World Bank Destroying Countries - Secret Documents Taken Away from IMF-WB
Have you ready the report from ADB? I will put the report of ADB for your perusal. However, I would like to inform you that the WB is not run by the contribution of money from individuals, but the contributions from member states.
AfDB report for your perusal;
Macroeconomic performance
Real GDP growth was an estimated 6.7% in 2018, down from 7.1% in 2017. The services sector was the main contributor to GDP (39.3%). Private investment was the main demand-side contributor (63.9%). The external sector stymied economic growth as the current account deficit increased (despite the real depreciation of the Tanzanian shilling), due to a higher volume of imports in 2018 than in 2017. The increase is due largely to increased imports of transport equipment, building and construction materials, industrial raw materials, and petroleum products for large public investment projects, such as the Standard Gauge Railway. The import bill also increased as a result of the rise in the price of key commodities, such as crude oil.
The fiscal deficit increased to an estimated 3.9% of GDP in 2018, due to increased capital spending on infrastructure projects. Public debt increased to an estimated 39.3% of GDP in 2018 from 38.2% in 2017. External debt accounted for about 74.9% of total public debt in 2018. The risk of debt distress remains low because public external debt, at 34.5% of GDP, is mostly concessional.
Monetary policy was more accommodative in 2018 than in 2017. This increased domestic liquidity and reduced lending rates, leading to greater private credit supply. Due to improved food supply, inflation eased to an estimated 3.5% in 2018.
Tailwinds and headwinds
The medium-term outlook is positive, with growth projected at 6.6% in both 2019 and 2020, supported by large infrastructure spending. Headline inflation is projected to marginally increase to 5.2% in 2019 and 5.1% in 2020 due to increased government spending.
But the positive outlook faces several downside risks: growing private sector concerns about economic policy uncertainty and increased domestic arrears that could derail the government’s fiscal consolidation and harm the private sector.
Key economic development challenges include slow progress towards inclusive growth, infrastructure bottlenecks, and vulnerability to climate change. Poverty and income inequality remain high despite high economic growth. Infrastructure bottlenecks are most notable in the transport and energy sectors. Reliance on rain-fed agriculture has exposed farmers to income shocks. And inefficient public enterprises present a fiscal risk. One of the development challenges on the social front is youth unemployment, which increased to 7.3% in 2016, compared with 5.7% in 2012.
Key opportunities include peace and political stability, abundant natural resources, a strategic geographic location, and immense development potential for tourism. The Export Zone Processing Agency established in 2008 to accelerate manufacturing exports and help the country achieve structural transformation has helped attract close to $1 billion in foreign direct investment and revive the manufacturing sector into one of the fastest growing in Africa.
How
 
Zimefungwa biashara 16,000 malizia pia ngapi zmefunguliwa?

Shinda JF tu uone Kama choo itajaa

Tatizo mnakuja kishabiki hamtumii medula oblongata kufikiria fursa za kutatua matatizo ya jamii mkapata hela
20190517_075315.jpg
20190517_075530.jpg

Hii ni LEO magazetini biashara zilizofungwa, tupe mrejesho wa hizo bishara zenu zilizofunguliwa.
Acheni propaganda zisizowasaidia.
 
AFDB wachunguze miradi wanayoi support Kama Ina tija maana Kuna miradi kibao inayoendeshwa na PPRA kwa Taasisi zaidi ya 8 na pesa toka AFDB Ni miradi isiyo na tija still tunaongeza Deni la Taifa, huko PPRA kuna shida na hao watendaji wakuu wa pesa za miradi huko PPRA wanazungushia kwanza ili ziwazalishie then ndo wanazipeleka kwa miradi lengwa so ile tija inapotea Mh.rais awe macho na Hilo mapema tutajuta
 
Mpaka sasa inaonekana kunahujuma ilipangwa na IMF kuihujumu Tanzania dhidi ya takwimu za kiuchumi,

Naipongeza serikali kwa kushitukia mchezo huo mchafu,kwa kutoichapisha ripoti hiyo,IMF walitaka tujikaange kwa mafuta yetu wenyewe.

Hili limethibishwa leo ikulu na kiongozi mwandamizi kabisa wa bank ya ADB ,amesema uchumi wetu unakua vizuri na unatarajiwa kukua vizuri kwa asilimia 6 mpaka 7.

Nzuri zaidi ni mwafrika mwenzetu.

Nategemea Zitto ajitokeze na kundi lake kumpinga kiongozi huyu mbobezi wa masuala ya kiuchumi .

Mwisho, ni nani wako nyuma ya hujuma hii dhidi ya nchi yetu?,na nini lengo lao?


Zitto hawezi kuja hapa kwa sababu hajahongwa, yeye yuko bize kujipigia punyeto bungeni akisubiri watu waende kumhonga aje na hoja za kijinga.
 
Back
Top Bottom