Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,760
Nimerudi si ulisema unamtaka ingnia ona sasa
hahaha hapo no kuijaza dunia
Nimerudi si ulisema unamtaka ingnia ona sasa
God for bid..............lolest
bora police nilale na pingu & bastola
Hahaha
Hahahaaaahaaaaaaaa
hakuna injinia hapo....huyo atakuwa fundi mchundo tu!!!
Nilikuwa najiuliza, huyu engineer ni wa aina gani hata organization tu hajui? Ni kweli engineers wanathamini kazi lakini siyo lazima wawe wachafu. Hicho ni kitu kingine. Na si kita mwanataaluma analala na taaluma yake kitandani.
Mnajitetea eeehh
Hahaha
Hamkawii kulala na bisbis
Kitandani loh
Hahahahahaaaaa maskini kumbe haya ndio yanayotokea kwa zumbemkuu maana Dah siku Ile ilikuwa saa kumi usiku unaniulizia eti nilikua nahitaji nyumba ya vyumba vingapi!!! Shemeji ana kazi
hakuna injinia hapo....huyo atakuwa fundi mchundo tu!!!