Haya sasa mnaotaka kuolewa na ma Engineer

Munkari

JF-Expert Member
Feb 9, 2013
8,084
4,351
Kazi kwenu....
 

Attachments

  • 1411147435236.jpg
    1411147435236.jpg
    21.9 KB · Views: 1,964
God for bid..............lolest
bora police nilale na pingu & bastola
 
Nimeipenda sana hii, alafu ukute ndiyo project iko nyuma ya muda na ramani inahitaji kufanyiwa marekebisho. Hapo hata kitanda hukikumbuki.

mnamambo nyie!!
Hapo SAA saba za usiku MTU kakomaa tu na lilaptop lake unamwambia njoo tulale ndo kwanza analinyanyua anaingia nalo kwe neti khaaa
 
mnamambo nyie!!
Hapo SAA saba za usiku MTU kakomaa tu na lilaptop lake unamwambia njoo tulale ndo kwanza analinyanyua anaingia nalo kwe neti khaaa

Ni kuhakikisha mambo yanakamilika on time, na hiyo ndiyo furaha ya Engineer aliye makini na kazi yake.
 
Back
Top Bottom