Ndo mana ake na grisi kabisa
Wanalala na spana na boti za gari
Vipi una mchina nini
engineer aliye makini anakamilisha mambo yake kwa wakati huko huko ofisini. unakurupuka na deadline kwani ulikuwa huijui ni lini ramani inatakiwa. kama endi hizo za kuzima moto chuo, eti mtu anaandika presentation masaa 2 kabla ya mda wake kufika. umkute uso wa mbuzi dr Nyaoro, na dr mushi hawakuelewi kabisa....Ni kuhakikisha mambo yanakamilika on time, na hiyo ndiyo furaha ya Engineer aliye makini na kazi yake.
Hahahaha
Kwahiyo miye ndo ntakuwa skeleton ya majaribio eeh ashindwe na elegee!!
Weeee!!!!!
Fundi mchundo ndo nani
Kumbe kiswahili nna F
Hapo haki yako ya ndoa hadi upeleke maombi serikali za mtaa ndo waje na polisi ili upewe haki yako.