Uchaguzi 2020 Haya ndiyo ambayo Tundu Lissu hukuyasema

Tangu lini Nchi ikaongozwa na Mawakala wa MABEBERU?
Liwake jua au lisiwake, Inyeshe mvua au isinyeshe, Kuche au kusiche Watanzania hawawezi kamwe kumpa Nchi KUWADI wa MABEBERU.
 
Kwahiyo jana alituita kunung'unika? Alafu silali na deni Bibi yako ndio anawashwa.
Wewe kweli unawashwa, tangu lini mtia nia akaongea kila kitu siku ya kutangaza nia? Yaani mlitaka Jana ataje mpaka mgombea mwenza?
 
1. Tundu Lissu umetangaza nia ya kugombea Urais lakini hukuweka wazi nia yako ya kuutaka Urais, badala yake umeanza na kampeni ya kusema mengi unayodhani Rais Magufuli amekosea.

2. Hujaweka wazi chanzo cha mapato yako kwamba unaishi Ulaya kwa gharama za nani? Watanzania hatuhitaji Rais ambaye anaingizwa madarakani kwa nguvu ya fedha ya watu wasiojulikana.

3. Hujaweka wazi kwamba unaishi Ulaya kwa status” ipi? Maana uliingia Ubelgiji kwa visa ya mgonjwa ulikwenda kutibiwa, lakini sasa umepona na unaendelea kuishi Ulaya, hujaweka wazi kama una “asylum” maana wenye hifadhi ya kisiasa kimsingi hawaruhusiwi kuendesha siasa za kupinga serikali zao.

4. Nakukumbusha ambayo Magufuli anakuzidi kwa mbali, alipoingia madarakani alipambana bila woga na unyonyaji ambao Tanzania ilikuwa ikionelewa na wachimba madini wasio waaminifu. Wewe ulisimama upande wa ACACIA ukidai kwamba ripoti ya kitaalamu iliyofunua ukweli kuhusu makinikia uliita “rubbish.” Mtu unayesimama upande wa wanyonyaji hutawafaa Watanzania.

5. Nakukumbusha kwamba Magufuli tangu aingie madarakani katika miaka mitano hajaenda Ulaya wala Marekani kuombaomba. Kumbuka Rais Trump amewaita wasomi aina yako yaani wasomi wanaotegemea misaada ya Ulaya kuwa ni “shameless beggars” hilo halikukuuma. Wakati Trump anatoa kauli hiyo ya masimango wewe ndio ulikuwa umepamba moto kuzunguka London, Berlin, Paris, Washington na Toronto. Magufuli unayemponda alisema mapema kabla hata Trump hajatoa kauli yake, Magufuli alisema haukubali mkate wa masimango.

6. Unajivunia kuzungukia mabara yote ya dunia, huna tofauti na Marais wanaoitukanisha Afrika ambao kila mwaka wanakwenda Ulaya kuhiji “Paris club.” Wanakwenda kuwaangukia wahisani ili wasaidiwe, Tanzania bado inamhitaji Magufuli ambaye kwa miaka mitano hajaenda Ulaya kuhiji anairudisha Tanzania yetu kwenye misingi ya kujitegemea.

7. Umedai Magufuli amevuruga diplomasia na uhusiano wa kimataifa umetoa mfano wa Shirika la Afya WHO, nakukumbusha kwamba Magufuli ameipaisha Tanzania kwenye kipindi cha “corona” kuliko wakati mwingine wowote. Magufuli alipoufunua ukweli kuhusu vifaa vya kupimia “covid 19” kwamba vinatoa matokeo yasiyo na uhakika, dunia ya wenye akili timamu ilimjadili na waungwana walimheshimu zaidi. Magufuli angekuwa alisema uwongo, watengenezaji wa vifaa hivyo wangemjibu ama wangeweza hata kumshitaki, lakini walikaa kimya kwasababu aliyoyafunua ni kweli tupu.

8. Nakukumbusha kwamba wakati dunia inahamanika “panic” kutiokana na jinamizi la “corona” Magufuli hakuikubali “lockdown.” Kwanza dunia haikumwelewa, lakini baadaye ilipomwelewa Marais makini wa dunia hii wameiiga Tanzania. Ingekuwa ninyi wenye sifa ya kuwa “adoptive” mngekuwa ndio mko madarakani, Tanzania ingeteswa na “covid 19” kuliko mabaya mengine yote yaliyowahi kuitesa nchi hii. Mngekuwa ninyi mlio hodari wa kupokea yatokayo nje pasipo kuyachuja, leo Watanzania tungekuwa tunasota mahabusu tukiitumikia “lockdown.”

9. Nakukumbusha kwamba sasa hivi “covid 19” siyo tishio tena kwa Watanzania, chini ya shujaa Magufuli tumeishinda “corona.” Ukitaka kuhakikisha waambie Wabelgiji wanaokutunza waelekeze kamera zao Kariakoo, Manzese na stendi ya ubungo, muone wananchi wanavyoendelea na shughuli zao kwa uhuru na hakuna maiti zilizozagaa barabarani wala hata wanaozimia. Wapiga debe wanapiga kelele zao bila “baracoa” wala hawazimii, waumini wanakusanyika kwenye nyumba za idada wala hakuna wafao kwa maelfu, kama waongo walivyotabiri. Ninyi “adoptive” mngekuwa ndio mnatawala Watanzania tusingeyafurahia mazuri tunayofurahia chini ya Magufuli.

10. Mwisho nakukumbusha ambalo hukulisema, nalo ni kuhusu mchango wako au “role” yako katika kuwaelekeza wasiolitakia mema shirika la ACTL. Uliwasaidia kukamata Ndege zetu huko Afrika kusini na Canada, maana hayo ulianza kuyasema mapema Bungeni kabla hujaenda Ulaya, kwamba mali zetu zitakamatwa. JE, wewe uliyefanya kama Yuda Iskariote aliyewaongoza wabaya akawaonyesha Yesu alipo, nawe ukawaonyesha wabaya wetu Ndege zetu kwamba zipo Canada na Afrika kusini, wakaenda kuzikamata kweli una manufaa kwa Tanzania?
Mavi uharo post!
 
1. Tundu Lissu umetangaza nia ya kugombea Urais lakini hukuweka wazi nia yako ya kuutaka Urais, badala yake umeanza na kampeni ya kusema mengi unayodhani Rais Magufuli amekosea.

2. Hujaweka wazi chanzo cha mapato yako kwamba unaishi Ulaya kwa gharama za nani? Watanzania hatuhitaji Rais ambaye anaingizwa madarakani kwa nguvu ya fedha ya watu wasiojulikana.

3. Hujaweka wazi kwamba unaishi Ulaya kwa status” ipi? Maana uliingia Ubelgiji kwa visa ya mgonjwa ulikwenda kutibiwa, lakini sasa umepona na unaendelea kuishi Ulaya, hujaweka wazi kama una “asylum” maana wenye hifadhi ya kisiasa kimsingi hawaruhusiwi kuendesha siasa za kupinga serikali zao.

4. Nakukumbusha ambayo Magufuli anakuzidi kwa mbali, alipoingia madarakani alipambana bila woga na unyonyaji ambao Tanzania ilikuwa ikionelewa na wachimba madini wasio waaminifu. Wewe ulisimama upande wa ACACIA ukidai kwamba ripoti ya kitaalamu iliyofunua ukweli kuhusu makinikia uliita “rubbish.” Mtu unayesimama upande wa wanyonyaji hutawafaa Watanzania.

5. Nakukumbusha kwamba Magufuli tangu aingie madarakani katika miaka mitano hajaenda Ulaya wala Marekani kuombaomba. Kumbuka Rais Trump amewaita wasomi aina yako yaani wasomi wanaotegemea misaada ya Ulaya kuwa ni “shameless beggars” hilo halikukuuma. Wakati Trump anatoa kauli hiyo ya masimango wewe ndio ulikuwa umepamba moto kuzunguka London, Berlin, Paris, Washington na Toronto. Magufuli unayemponda alisema mapema kabla hata Trump hajatoa kauli yake, Magufuli alisema haukubali mkate wa masimango.

6. Unajivunia kuzungukia mabara yote ya dunia, huna tofauti na Marais wanaoitukanisha Afrika ambao kila mwaka wanakwenda Ulaya kuhiji “Paris club.” Wanakwenda kuwaangukia wahisani ili wasaidiwe, Tanzania bado inamhitaji Magufuli ambaye kwa miaka mitano hajaenda Ulaya kuhiji anairudisha Tanzania yetu kwenye misingi ya kujitegemea.

7. Umedai Magufuli amevuruga diplomasia na uhusiano wa kimataifa umetoa mfano wa Shirika la Afya WHO, nakukumbusha kwamba Magufuli ameipaisha Tanzania kwenye kipindi cha “corona” kuliko wakati mwingine wowote. Magufuli alipoufunua ukweli kuhusu vifaa vya kupimia “covid 19” kwamba vinatoa matokeo yasiyo na uhakika, dunia ya wenye akili timamu ilimjadili na waungwana walimheshimu zaidi. Magufuli angekuwa alisema uwongo, watengenezaji wa vifaa hivyo wangemjibu ama wangeweza hata kumshitaki, lakini walikaa kimya kwasababu aliyoyafunua ni kweli tupu.

8. Nakukumbusha kwamba wakati dunia inahamanika “panic” kutiokana na jinamizi la “corona” Magufuli hakuikubali “lockdown.” Kwanza dunia haikumwelewa, lakini baadaye ilipomwelewa Marais makini wa dunia hii wameiiga Tanzania. Ingekuwa ninyi wenye sifa ya kuwa “adoptive” mngekuwa ndio mko madarakani, Tanzania ingeteswa na “covid 19” kuliko mabaya mengine yote yaliyowahi kuitesa nchi hii. Mngekuwa ninyi mlio hodari wa kupokea yatokayo nje pasipo kuyachuja, leo Watanzania tungekuwa tunasota mahabusu tukiitumikia “lockdown.”

9. Nakukumbusha kwamba sasa hivi “covid 19” siyo tishio tena kwa Watanzania, chini ya shujaa Magufuli tumeishinda “corona.” Ukitaka kuhakikisha waambie Wabelgiji wanaokutunza waelekeze kamera zao Kariakoo, Manzese na stendi ya ubungo, muone wananchi wanavyoendelea na shughuli zao kwa uhuru na hakuna maiti zilizozagaa barabarani wala hata wanaozimia. Wapiga debe wanapiga kelele zao bila “baracoa” wala hawazimii, waumini wanakusanyika kwenye nyumba za idada wala hakuna wafao kwa maelfu, kama waongo walivyotabiri. Ninyi “adoptive” mngekuwa ndio mnatawala Watanzania tusingeyafurahia mazuri tunayofurahia chini ya Magufuli.

10. Mwisho nakukumbusha ambalo hukulisema, nalo ni kuhusu mchango wako au “role” yako katika kuwaelekeza wasiolitakia mema shirika la ACTL. Uliwasaidia kukamata Ndege zetu huko Afrika kusini na Canada, maana hayo ulianza kuyasema mapema Bungeni kabla hujaenda Ulaya, kwamba mali zetu zitakamatwa. JE, wewe uliyefanya kama Yuda Iskariote aliyewaongoza wabaya akawaonyesha Yesu alipo, nawe ukawaonyesha wabaya wetu Ndege zetu kwamba zipo Canada na Afrika kusini, wakaenda kuzikamata kweli una manufaa kwa Tanzania?
lete porojo mzee mm nina suali moja tu kwako hao wanyonyaji aliwalete nani Tanzania ? au walikuja na vivaru? please jawabu halafu utaINDELEA NA POROJO ZAKO
 
Unataka kujua gharama za matibabu? Unauliza Leo wakati alidai fedha na mshahara wake mlikaa kimya mkajidai hamna taarifa kuwa anafanya matibabu nje ? Kumbe mnafahamu!

Kabla sija kupa majibu waambie watanzania kuwa kulikuwa mnafahamu kuhusu matibabu yake na bunge na serikali Yanu ilikataa kutoa fedha kwa sababu gani.

Mkimaliza kueleza hayo kwa kupitia vyombo vya habari nitakupa majibu yako, Lkn kwa sasa siwezi kukupa majibu, endelea na siasa zako maji tope

Wale jamaa wa haki za mashoga ndo wanamtunza
Hakuna kingine hapo,
Huwezi ishi ulaya hivi hivi, labada atwambie kama nae anahudumia wazee huko?
 
lete porojo mzee mm nina suali moja tu kwako hao wanyonyaji aliwalete nani Tanzania ? au walikuja na vivaru? please jawabu halafu utaINDELEA NA POROJO ZAKO

Andika vizuri kwanza haraka ya nini?

Vivaru,
utaINDELEA,
suali,
aliwalete,
Hayo mamandishi ndo mdudu gani?
Wewe ni mhutu au?
 
1. Tundu Lissu umetangaza nia ya kugombea Urais lakini hukuweka wazi nia yako ya kuutaka Urais, badala yake umeanza na kampeni ya kusema mengi unayodhani Rais Magufuli amekosea.

2. Hujaweka wazi chanzo cha mapato yako kwamba unaishi Ulaya kwa gharama za nani? Watanzania hatuhitaji Rais ambaye anaingizwa madarakani kwa nguvu ya fedha ya watu wasiojulikana.

3. Hujaweka wazi kwamba unaishi Ulaya kwa status” ipi? Maana uliingia Ubelgiji kwa visa ya mgonjwa ulikwenda kutibiwa, lakini sasa umepona na unaendelea kuishi Ulaya, hujaweka wazi kama una “asylum” maana wenye hifadhi ya kisiasa kimsingi hawaruhusiwi kuendesha siasa za kupinga serikali zao.

4. Nakukumbusha ambayo Magufuli anakuzidi kwa mbali, alipoingia madarakani alipambana bila woga na unyonyaji ambao Tanzania ilikuwa ikionelewa na wachimba madini wasio waaminifu. Wewe ulisimama upande wa ACACIA ukidai kwamba ripoti ya kitaalamu iliyofunua ukweli kuhusu makinikia uliita “rubbish.” Mtu unayesimama upande wa wanyonyaji hutawafaa Watanzania.

5. Nakukumbusha kwamba Magufuli tangu aingie madarakani katika miaka mitano hajaenda Ulaya wala Marekani kuombaomba. Kumbuka Rais Trump amewaita wasomi aina yako yaani wasomi wanaotegemea misaada ya Ulaya kuwa ni “shameless beggars” hilo halikukuuma. Wakati Trump anatoa kauli hiyo ya masimango wewe ndio ulikuwa umepamba moto kuzunguka London, Berlin, Paris, Washington na Toronto. Magufuli unayemponda alisema mapema kabla hata Trump hajatoa kauli yake, Magufuli alisema haukubali mkate wa masimango.

6. Unajivunia kuzungukia mabara yote ya dunia, huna tofauti na Marais wanaoitukanisha Afrika ambao kila mwaka wanakwenda Ulaya kuhiji “Paris club.” Wanakwenda kuwaangukia wahisani ili wasaidiwe, Tanzania bado inamhitaji Magufuli ambaye kwa miaka mitano hajaenda Ulaya kuhiji anairudisha Tanzania yetu kwenye misingi ya kujitegemea.

7. Umedai Magufuli amevuruga diplomasia na uhusiano wa kimataifa umetoa mfano wa Shirika la Afya WHO, nakukumbusha kwamba Magufuli ameipaisha Tanzania kwenye kipindi cha “corona” kuliko wakati mwingine wowote. Magufuli alipoufunua ukweli kuhusu vifaa vya kupimia “covid 19” kwamba vinatoa matokeo yasiyo na uhakika, dunia ya wenye akili timamu ilimjadili na waungwana walimheshimu zaidi. Magufuli angekuwa alisema uwongo, watengenezaji wa vifaa hivyo wangemjibu ama wangeweza hata kumshitaki, lakini walikaa kimya kwasababu aliyoyafunua ni kweli tupu.

8. Nakukumbusha kwamba wakati dunia inahamanika “panic” kutiokana na jinamizi la “corona” Magufuli hakuikubali “lockdown.” Kwanza dunia haikumwelewa, lakini baadaye ilipomwelewa Marais makini wa dunia hii wameiiga Tanzania. Ingekuwa ninyi wenye sifa ya kuwa “adoptive” mngekuwa ndio mko madarakani, Tanzania ingeteswa na “covid 19” kuliko mabaya mengine yote yaliyowahi kuitesa nchi hii. Mngekuwa ninyi mlio hodari wa kupokea yatokayo nje pasipo kuyachuja, leo Watanzania tungekuwa tunasota mahabusu tukiitumikia “lockdown.”

9. Nakukumbusha kwamba sasa hivi “covid 19” siyo tishio tena kwa Watanzania, chini ya shujaa Magufuli tumeishinda “corona.” Ukitaka kuhakikisha waambie Wabelgiji wanaokutunza waelekeze kamera zao Kariakoo, Manzese na stendi ya ubungo, muone wananchi wanavyoendelea na shughuli zao kwa uhuru na hakuna maiti zilizozagaa barabarani wala hata wanaozimia. Wapiga debe wanapiga kelele zao bila “baracoa” wala hawazimii, waumini wanakusanyika kwenye nyumba za idada wala hakuna wafao kwa maelfu, kama waongo walivyotabiri. Ninyi “adoptive” mngekuwa ndio mnatawala Watanzania tusingeyafurahia mazuri tunayofurahia chini ya Magufuli.

10. Mwisho nakukumbusha ambalo hukulisema, nalo ni kuhusu mchango wako au “role” yako katika kuwaelekeza wasiolitakia mema shirika la ACTL. Uliwasaidia kukamata Ndege zetu huko Afrika kusini na Canada, maana hayo ulianza kuyasema mapema Bungeni kabla hujaenda Ulaya, kwamba mali zetu zitakamatwa. JE, wewe uliyefanya kama Yuda Iskariote aliyewaongoza wabaya akawaonyesha Yesu alipo, nawe ukawaonyesha wabaya wetu Ndege zetu kwamba zipo Canada na Afrika kusini, wakaenda kuzikamata kweli una manufaa kwa Tanzania?
Nyie mataga mnatia aibu nchi nzima kwa ushamba na ushenzi wenu.
 
Maswali magumu kwa Tundu Lissu mwenyewe:

Mosi, atagombea urais kupitia Tume ya Uchaguzi ipi? Isije baadaye akasema tume iliyopo si huru. Tutaanza kuuliza tena alikubali vipi kuwa chini ya tume aliyoijua si huru?!

Pili, anadai katiba iliyopo haifai na ni ya kidikteta, sasa atagombea kupitia katiba ipi? Haingii akilini kuongozwa na kitu ambacho anajua hakifai!

Nilidhani alipaswa kwanza kuendelea kugombea au kudai katiba mpya kupata uwanja sawa wa kisiasa ndipo agombee urais.

Anajua sana katiba iliyopo inapiga marufuku kuhoji matokeo ya urais popote pale pindi yakitangazwa na tume iliyopo! Haya Lissu anayajua, labda anatangaza kwa lengo lingine maana anajua mazingira halisi ya kisheria kwa sasa.

Pia tusisahau anaweza asije kabisa na kutuambia hakuhakikishiwa usalama! Hata hivyo, anayo haki ya kutoa maoni na kutaka nafasi yoyote kwa mujibu wa sheria. Na pia nafurahi kusikia kapona na namshukuru Mungu kwa hilo.
 
Maswali magumu kwa Tundu Lissu mwenyewe:

Mosi, atagombea urais kupitia Tume ya Uchaguzi ipi? Isije baadaye akasema tume iliyopo si huru. Tutaanza kuuliza tena alikubali vipi kuwa chini ya tume aliyoijua si huru?!

Pili, anadai katiba iliyopo haifai na ni ya kidikteta, sasa atagombea kupitia katiba ipi? Haingii akilini kuongozwa na kitu ambacho anajua hakifai!

Nilidhani alipaswa kwanza kuendelea kugombea au kudai katiba mpya kupata uwanja sawa wa kisiasa ndipo agombee urais.

Anajua sana katiba iliyopo inapiga marufuku kuhoji matokeo ya urais popote pale pindi yakitangazwa na tume iliyopo! Haya Lissu anayajua, labda anatangaza kwa lengo lingine maana anajua mazingira halisi ya kisheria kwa sasa.

Pia tusisahau anaweza asije kabisa na kutuambia hakuhakikishiwa usalama! Hata hivyo, anayo haki ya kutoa maoni na kutaka nafasi yoyote kwa mujibu wa sheria. Na pia nafurahi kusikia kapona na namshukuru Mungu kwa hilo.
Ngoja akajipange, aje arudi kupiga comeback
 
Acha kuandika upuuzi. Shwani
Pangua hoja hizo acha mihemko na matusii ndugu, kumbuka hoja hazipigwi rungu, mwenzako kakuwekea hoja zake tena kwa namba, zipinge kwa hoja sio matusi.. Hii ndio inaonyesha ufinyu wenu wa fikra kwa sababu hakuna akiyeshughulisha kichwa kupinga hoja kwa hoja bali ni mitusi tuu
 
Kwahiyo jana alituita kunung'unika? Alafu silali na deni Bibi yako ndio anawashwa.
ww ndio unanung'unika YEYE KATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS kimsingi sisi tumentaka atangane nia na amefanya hivyo mengine yote kampeni zinaanza soon
 
ww ndio unanung'unika YEYE KATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS kimsingi sisi tumentaka atangane nia na amefanya hivyo mengine yote kampeni zinaanza soon
Hapana sio mimi niliyesema KANUNG'UNIKA bali ukiisikila hotuba yake kuna sehemu amesema kuwa hayo ndio KANUNG'UNIKO YAKE

Kisha ndio akasema ataifanyia nini Tanzania. Muwe mnasikiliza basi kabla ya kuja kutushambulia
 
Back
Top Bottom