Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Acha kunung'unika Basi Mkuu subiri kampeni zianze hofu ya nn? Nyie jamaa hizo akili za kulamba makalio ya mwenyekiti mmepumbazika snHapana sio mimi niliyesema KANUNG'UNIKA bali ukiisikila hotuba yake kuna sehemu amesema kuwa hayo ndio KANUNG'UNIKO YAKE
Kisha ndio akasema ataifanyia nini Tanzania. Muwe mnasikiliza basi kabla ya kuja kutushambulia