idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,051
- 1,423
Baadhi ya askari wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
waliokosa ajira, wakimsikiliza ofisa wa polisi
aliyewataka waondoke eneo la Ocean Road jijini
Dar es Salaam baada ya kufanya maandamano ya
amani kutoka Jangwani kuelekea Ikulu kwa lengo
la kuiomba serikali iwapatie ajira ya kudumu.
cc mshana jr na wapenda maendeleo wote.
Last edited by a moderator: