Haya ndio Matokeo ya JKT

Haya ndio Matokeo ya JKT

idoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2013
Posts
3,051
Reaction score
1,423
JKT--December18-2014.jpg

Baadhi ya askari wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
waliokosa ajira, wakimsikiliza ofisa wa polisi
aliyewataka waondoke eneo la Ocean Road jijini
Dar es Salaam baada ya kufanya maandamano ya
amani kutoka Jangwani kuelekea Ikulu kwa lengo
la kuiomba serikali iwapatie ajira ya kudumu.

cc mshana jr na wapenda maendeleo wote.
 
Last edited by a moderator:
Hao ni kuruta,adhabu ya kuandamana askari ni risasi ya moto.Nadhani serikali itasikia kilio chao.
 
Bila ajira ya kudumu Serikali itawaandaa kuwa majambazi mitaani
 
Ni muda mwafaka kwa serikali kuagiza makampuni yote ya ulinzi kuwaajiri vijana walitoka JKT kwa utaratibu wa hiari (volunteers)
 
Bila ajira ya kudumu Serikali itawaandaa kuwa majambazi mitaani
suala ni kwa nini serikali ipeleke watu JKT na kusiwe na jinsi ya kuwapa ajiria!! sasa tutegemee nini kwa mtu mwenye mafunzo ya kupambana na kutumia silaha asiye na ajira?
 
duuh..nyomi yote hyo haina ajira ilhali wanajua kutumia silaha vzuri...uhalifu kamwe hautoisha
 
Sasa hawa wakiamua kuwa majambazi sipati picha maana wanajua kutumia kila aina ya silaha
 
Kwani wengi wao si wamemaliza form6? Kwanini hawajaenda kujiunga na vyuo ht vya ualimu?
 
Kwani wengi wao si wamemaliza form6? Kwanini hawajaenda kujiunga na vyuo ht vya ualimu?


eti hata vyuo vya ualimu???!!! hapa ndipo ninapo waona watu wajinga na mabwege unapo sema hata vyuo vya ualimu maana yake ni kua ualimu ni kimbilio la wakosaji hiyo ni dharau iliyo pitiliza ungekua karibu yangu haki ya Mungu ningekutia mangumi we mtoto @#!?¿&%
 
Kama serikali yao imeshindwa kuwapatia ajira basi watapatiwa na akina alshabaab.
 
JKT--December18-2014.jpg

Baadhi ya askari wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT)
waliokosa ajira, wakimsikiliza ofisa wa polisi
aliyewataka waondoke eneo la Ocean Road jijini
Dar es Salaam baada ya kufanya maandamano ya
amani kutoka Jangwani kuelekea Ikulu kwa lengo
la kuiomba serikali iwapatie ajira ya kudumu.

cc mshana jr na wapenda maendeleo wote.
idoyo niwie radhi kwa kuchelewa kufika huku
 
Last edited by a moderator:
Tunachokiumba hapo ni kitu kimoja hayari sana imagine wanawaona viongozi wetu wa kisiasa wana maisha mazuri kwa kila hali wao na familia zao na ndugu zao wa karibu, wao wako kitaa hawana kitu na wanasota na maisha, mafunzo wanayo mbinu wanazo akitokea kichaa mmoja akawabrainwash........!!!!!
 
Back
Top Bottom