Madela Wa- Madilu
JF-Expert Member
- Mar 24, 2007
- 3,063
- 744
Kuna haja ya kwenda Israel kujifunza upya namna ya kuendesha JKT.
Wale waliokula chumvi lkiasi kama mimi wanajua JKT iliundwa kwa Model ya Jeshi la Israel.
Kule kwao Jeshi lao si la kula tu ni jeshi linalochangia pato la Taifa.
Jeshi la Israel limejkita kwenye kila aspect ya maisha ya watu,hakuna kitu ambacho hawafanyi.
JKT (Jeshi la Kula Tu)yetu ni la POLOLO.
Wale waliokula chumvi lkiasi kama mimi wanajua JKT iliundwa kwa Model ya Jeshi la Israel.
Kule kwao Jeshi lao si la kula tu ni jeshi linalochangia pato la Taifa.
Jeshi la Israel limejkita kwenye kila aspect ya maisha ya watu,hakuna kitu ambacho hawafanyi.
JKT (Jeshi la Kula Tu)yetu ni la POLOLO.