Huwa nikiangalia tu gwanda za wale askari wa kenya wanaozuia maandamano huwa najua kabsa hamna ktu.
Lakini hawaachi kuprotest!Gen z hadi sasa wamekufa wanane katika protest
Kudadeeeeki huyu atafutwe apewe tunzo hii sio kawaida.
Ukiangalia za wale wa nchi Yako je?Huwa nikiangalia tu gwanda za wale askari wa kenya wanaozuia maandamano huwa najua kabsa hamna ktu.
Watu wakichoka manyanyaso na wakaamua hata uwe na silaha Gani huwez kufua dafi mbele Yao.
Kama Disintegration kwenye AvengersBora wao mauwaji na kuumizana vinafanyika hadharani kuliko kwingine ambako mtu anapotea katika mazingira ya kutatanisha na vyombo vya usalama vinashindwa kuwafahamu
Angela Mao ni balaaDa huyu dada kama Angela Mao au Cynthia rothrock
Gwanda za maana kabsa.Ukiangalia za wale wa nchi Yako je?
...na kuhuzunisha.Inasikitisha sana
Kaombe wakuue hadharani ili utafutwe upatikaneBora wao mauwaji na kuumizana vinafanyika hadharani kuliko kwingine ambako mtu anapotea katika mazingira ya kutatanisha na vyombo vya usalama vinashindwa kuwafahamu
Pengine Tanzania wanaouwawa ni wengi kuliko Kenya na UgandaKaombe wakuue hadharani ili utafutwe upatikane
Hakuna ubora wowote! Kufa ni kufa! Kuuliwa ni kuuliwa tu! Iwe gizani au nuruni haibadilishi maana!Bora wao mauwaji na kuumizana vinafanyika hadharani kuliko kwingine ambako mtu anapotea katika mazingira ya kutatanisha na vyombo vya usalama vinashindwa kuwafahamu
Aisee huyu binti ni shida..