Haya ndio malipo ya kiburi

Haya ndio malipo ya kiburi

kwisha penda unapopendwa, usipopendwa stress zinatosha.

Haijalishi mtu anakudharau kiasi gani, kikubwa tenda wema utembee mbele, malipo akhera.
 
Kwa hiyo unataka kuutangazia umma kwamba huyo chaurembo ameuguwa kwa sababu hakukupenda wakati ulipokuwa unamhitaji? Uzilamishe mahusiano mkuu kwa sababu kila mtu ana machaguwo yake, na magonjwa ameumbiwa binaadamu, Kwa hivyo sioni uhusiano wowote katika kuuguwa kwa huyo dada na kukukataa.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kuna dada mmoja ambaye nilitokea kumpenda sana, sdada huyo nilimwambia ukweli wangu lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake. Maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanaoigizi maisha sana.

Mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya dada yake kunikubali sana na kutaka nimuoe mdogo wake, lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo dada alikuwa jeuri kinoma sana, hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa hajibu salamu zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa ninatoa harufu mbaya. Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa dada huyo ni mgonjwa, anaumwa sana wanasema ana matatizo ya ini. Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndiyo nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zimekuwa marashi mazuri kwake.

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako, hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho.
Umeandika ujumbe wa kumkebehi. Hajafanya kosa lolote kutokukubali wewe. Ni utashi wa moyo wake. Sasa unaandika ati alikufanyia kiburi na sasa wewe ndiye unayemsaidia. Sasa swali kwako mleta mada, yeye ndiye kakuomba huo msaada? Au umejisikia tu kujitolea. Kama umejisikia mwenyewe ndio iwe sababu ya kumbagaza hapa jukwaani? Vijana acheni kuleta threads zilizoathiriwa na foolish age yenu.
 
Kuna dada mmoja ambaye nilitokea kumpenda sana, sdada huyo nilimwambia ukweli wangu lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake. Maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanaoigizi maisha sana.

Mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya dada yake kunikubali sana na kutaka nimuoe mdogo wake, lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo dada alikuwa jeuri kinoma sana, hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa hajibu salamu zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa ninatoa harufu mbaya. Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa dada huyo ni mgonjwa, anaumwa sana wanasema ana matatizo ya ini. Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndiyo nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zimekuwa marashi mazuri kwake.

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako, hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho.
Km filamu ya kanumba
 
Na akipona atazidi kukuona falaa tuu inawezekana hata salamu asikupee ..!! Hao ndo wanawake
Lakini kapenda mwenyewe kwenda kuuguza huko, hakuitwa. Kwa hiyo tuseme anajitolea asitegemee lolote.
 
Kuna dada mmoja ambaye nilitokea kumpenda sana, sdada huyo nilimwambia ukweli wangu lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake. Maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanaoigizi maisha sana.

Mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya dada yake kunikubali sana na kutaka nimuoe mdogo wake, lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo dada alikuwa jeuri kinoma sana, hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa hajibu salamu zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa ninatoa harufu mbaya. Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa dada huyo ni mgonjwa, anaumwa sana wanasema ana matatizo ya ini. Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndiyo nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zimekuwa marashi mazuri kwake.

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako, hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho.
Tatepa
 
Ningekuwa karibu yako ningekulamba bakora kumi hadharani, unajikuta msamaria sana, kwamba ukimuhangaikia ndio atakupa ndogo? Achana na hiyo mbolea ukafanye mambo ya msingi
 
Kuna dada mmoja ambaye nilitokea kumpenda sana, sdada huyo nilimwambia ukweli wangu lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake. Maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanaoigizi maisha sana.

Mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya dada yake kunikubali sana na kutaka nimuoe mdogo wake, lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo dada alikuwa jeuri kinoma sana, hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa hajibu salamu zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa ninatoa harufu mbaya. Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa dada huyo ni mgonjwa, anaumwa sana wanasema ana matatizo ya ini. Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndiyo nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zimekuwa marashi mazuri kwake.

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako, hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho.
Mkuu huo ugonjwa wa ini hau husiani na kiburi chake, wapo waungwana na wacha Mungu wana ugonjwa huo. Ila nikuwa bado unampenda unaona umepata starting point.. Unadhani ndiyo atakuaoenda endelea kutafuta maumivu angalia usije kuua.
 
Ndo Dawa yangu ya uzazi wa mpango pale inapotokea nimesex hata kwa mwaka Mara moja....sasa mwaka Jana kuna miez nilisex mfululizo ikabidi p2 ninywe kila mwez(danger days) .....mwili ukaanza kuwasha sana...nikaenda hospital nikaulizwa Dawa gani umefululiza kunywa sana mwez huu...nikasema hakuna ila nimekunywa P2 kwa miez 3 yaan Mara 3....wakaniambia acha p2 ni Mara moja au mbili kwa mwaka.... Ukifululiza unasababisha ini lisifanye kaz vyema ivo dalili zake mwili kuwasha sana
Duh umeniogopesha sana. Baby wangu naye alifululiza kunywa P2 yaani akaanza kuwashwa especially kwenye nyayo. Hila baadae akarecover.
 
Back
Top Bottom