Haya ndio malipo ya kiburi

Haya ndio malipo ya kiburi

Ukweli ni kwamba maradhi yapo na suala la kukukataa ni haki yake usiforce ...Hajihisi fahari kuwa na wewe kama unaona unaweza kumsaidia msaidie tu ,watu wanatoa michango mpaka kweny harusi za maex wao sio kesi..mpambanie kama ataona umuhimu wako fresh akipuuza pia Haina noma chapa lapa.
 
Wenzako walishatoa mpaka figo na bado wakaishiwa kutukanwa na kudharauliwa
 
Wakina instagramu wamemnyesha mapombe yamemuharibu ini alafu boya katika ubora wako unabeba msalaba .....wewe kweli ni kiazi huyo mwanamke anahaki ya kukutemea mate
 
Tenda wema...

Kuumwa kwake hakuna uhusiano wowote na kiburi au dharau...
 
Mtibu alone arudi kwa WaInstagram
 
Kuna sister mmoja ambaye nilitokea kumpenda saana sister huyo nilimwambia ukweli wangu
Lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanao fake life saana mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya sister yake kunikubali saana na kutaka ni muoe mdogo wake lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo sister alikuwa jeuri kinoma saana hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa Hajibu salam zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa nina towa harufu mbaya
Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa sister huyo ni mgonjwa anaumwa saana wana sema ana matatizo ya ini.

Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndio nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zime kuwa parfum nzuri kwake

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho
Msaidie tu kwakuwa upo karibu nao na wanahitaji msaada wako. Ila Fanya kama ubinadamu tu. Usije ukahitaji fadhila zozote baadae kutoka kwao, fadhila kama upendo toka kwao n.k.
 
Mtolee hata ini pita hata na dada mtu sio lazima upite naa mdogo mtu
 
Kuna sister mmoja ambaye nilitokea kumpenda saana sister huyo nilimwambia ukweli wangu
Lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanao fake life saana mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya sister yake kunikubali saana na kutaka ni muoe mdogo wake lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo sister alikuwa jeuri kinoma saana hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa Hajibu salam zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa nina towa harufu mbaya
Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa sister huyo ni mgonjwa anaumwa saana wana sema ana matatizo ya ini.

Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndio nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zime kuwa parfum nzuri kwake

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho
Kwa hiyo unawasema wajamaa wa Instagram au unawataarifu waje wasaidie?
 
Back
Top Bottom