Haya ndio malipo ya kiburi

Haya ndio malipo ya kiburi

Kuna sister mmoja ambaye nilitokea kumpenda saana sister huyo nilimwambia ukweli wangu
Lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanao fake life saana mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya sister yake kunikubali saana na kutaka ni muoe mdogo wake lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo sister alikuwa jeuri kinoma saana hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa Hajibu salam zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa nina towa harufu mbaya
Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa sister huyo ni mgonjwa anaumwa saana wana sema ana matatizo ya ini.

Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndio nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zime kuwa parfum nzuri kwake

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho
Acha shobo, msaada sio haki wala lazima ukiwa unamsaidia wewe saidia bila kuangalia nyuma
 
Unitahidi sasa uwe apdated (msafi, unukie vizuri) sio unajiacha rafu ili ukiachwa unasubiri aliekuacha yamkute uje ulalamike kuwa uliachwa kisa mchafu na sasa aliekuacha yamemkuta.
 
Umejuaje To yeye? Maana kuna mmoja tumemzika juzi na alikuwa na bonge la mtako naye shida ni ini 🤔
Ndo Dawa yangu ya uzazi wa mpango pale inapotokea nimesex hata kwa mwaka Mara moja....sasa mwaka Jana kuna miez nilisex mfululizo ikabidi p2 ninywe kila mwez(danger days) .....mwili ukaanza kuwasha sana...nikaenda hospital nikaulizwa Dawa gani umefululiza kunywa sana mwez huu...nikasema hakuna ila nimekunywa P2 kwa miez 3 yaan Mara 3....wakaniambia acha p2 ni Mara moja au mbili kwa mwaka.... Ukifululiza unasababisha ini lisifanye kaz vyema ivo dalili zake mwili kuwasha sana
 
Kupata matatizo ya ini si malipo ya jeuri yake. Wrong attribution. Hiyo ina sababu zake za kisayansi kabisa.
Ila hongera kwa kuwepo around kusaidia. Kama asili yako ni kutenda wema basi usiache ubaya ukubadili.
Mleta mada hajamaanisha kuwa ugonjwa alionao ndio malipo ya jeuri yake. Ila wale watu aliyewaona ni bora kwake hawaonekani kuwa msaada kwenye matatizo yake. Na alipoonyesha dharau ndo imekua kimbilio lake.
 
Wewe acha kutoa fedha zako kwa hao ma slay queen.
Yaani mtu anakutema mate then wewe unahangaika kwaajili yake.
Are you mad?
Akipona atarudi kwenye mambo yake na wewe utabaki na mbupu zako.
Kuna video nitakutimia nikiiona kwenye maktaba yangu. Inafundisha adui wako atabaki kuwa adui yako tu.
Don't trust your enemy
 
Kuna dada mmoja ambaye nilitokea kumpenda sana, sdada huyo nilimwambia ukweli wangu lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake. Maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanaoigizi maisha sana.

Mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya dada yake kunikubali sana na kutaka nimuoe mdogo wake, lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo dada alikuwa jeuri kinoma sana, hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa hajibu salamu zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa ninatoa harufu mbaya. Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa dada huyo ni mgonjwa, anaumwa sana wanasema ana matatizo ya ini. Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndiyo nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zimekuwa marashi mazuri kwake.

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako, hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho.
Sasa umekuja kumsimanga huku, wewe unajua kesho yako? Kama alichokufanyia ni kibaya mbona wewe unamfanyia wakati huu akiwa mgonjwa?
Kama huna Nia ya kumsaidia acha siyo kuja huku na wewe sass kujii a bora kuliko yeye. Jinga sana wewe.
 
Kuna dada mmoja ambaye nilitokea kumpenda sana, sdada huyo nilimwambia ukweli wangu lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake. Maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanaoigizi maisha sana.

Mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya dada yake kunikubali sana na kutaka nimuoe mdogo wake, lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo dada alikuwa jeuri kinoma sana, hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa hajibu salamu zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa ninatoa harufu mbaya. Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa dada huyo ni mgonjwa, anaumwa sana wanasema ana matatizo ya ini. Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndiyo nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zimekuwa marashi mazuri kwake.

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako, hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho.
Mkuu uko mkoa gani? Ikiwa upo Mwanza au mkoa karibu hapo nikupe namba ya tabibu kuna mtu alitibiwa tatizo la ini akapona kabisa.

Mimi kuna ndugu yangu alitibiwa tatizo lingine ndiye aliniambia habar ya kukutana na huyo mtu aliyetibiwa ini.
 
Hili ndo tatizo linaloangamiza sana mabinti kwa sasa(tunakunywa sana Dawa.....p2 mfululizo,na vidonge vingine vya kuzuia mimba
Kisa mnapenda sana chukuchuku tena siku za kuongeza familia
 
Kuna dada mmoja ambaye nilitokea kumpenda sana, sdada huyo nilimwambia ukweli wangu lakini kwasababu ya umaskini wangu akaniona kama kituko kwake. Maana alikuwa amezoea kutoka na hawa wanaume wa instagram wanaoigizi maisha sana.

Mimi ambaye nilikuwa sina swaga akaniona kama takataka licha ya dada yake kunikubali sana na kutaka nimuoe mdogo wake, lakini mambo ya kawa ndio hivi.

Huyo dada alikuwa jeuri kinoma sana, hata nikimsamia tu akiwa barabarani alikuwa hajibu salamu zangu na kuna mda alikuwa akiniona ana tema mate chini yaani ishara ya kusema kuwa ninatoa harufu mbaya. Nilivumia wala sikujali saana niliendelea na kazi zangu kama kawaida tu

Kwasasa dada huyo ni mgonjwa, anaumwa sana wanasema ana matatizo ya ini. Mimi ambaye alikuwa ana nitukana ndiyo nahangaika na dada yake kwenye mahospitali uko na kwenye waganga wa asili kutafuta dawa za kumsaidia mdogo wake labda Mungu anaweza kusaidia.

Wale akina Instagram kwasasa simuoni yeyote mimi ambaye ninanuka nguo zangu zimekuwa marashi mazuri kwake.

Kwenye maisha usijione bora zaidi ya wengine hata kama una uwezo kivipi mchukulie kila mtu kuwa kama rafiki yako au ndugu yako, hujui ninani atakaye kuja kuwa msaada mkubwa kwako kesho.
HAUNA AKILI
 
kwisha habari yako akipona anarudi Instagram kwenda kuwatafuata wale wazugaji wa insta
 
Back
Top Bottom