Hujambo mdogoake
Sidhan atatokea mtu kusema amewah humu, Wana Jf tuspokutana Mbinguni naandamana maana humu ndan kila mtu hanaga makosa, Mim Mwenyewe sijawah.
NdiyoKwa wanaume je ulishawahi kuwa na rafiki yako akakuonesha mpenzi wake wa kike (girlfriend wa rafiki yako)halafu baadae ukafanya tamaa kisha ukamzunguka rafiki yako kwa siri kisha ukala penzi? ama wewe mdada ulishawahi kuoneshwa mpenzi wa rafiki yako wa kike (boyfriend wa rafiki yako),kisha ukafanya hila, ukamzunguka rafiki yako ukamlia vyake?
Swali tete!
Niulize mdogo wangu
Ila kuna watu wanazungukana aise,tena hata marafiki wenye ndoa zao,
Kama mada inavyosema ndio inakuwa hivyohivyo
Mi naomba niseme tu ukweli, sijawahi ila kuna shem kanizimikia.
I wish tungetumia kauli za hivi kupinga uzinzi pia.Ukiwaona uwaambie ni wapuuzi wa kiwango kilichopitiliza.Ni uzezeta na kufanya mambo kama mahayawani.Dhaifu sana hao kuliko aliowasema CAG.
Bado haijawa haki yakeMpe haki yake ukimaliza si unaiosha inarudi kawaida!!!