lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,166
- 33,410
- Thread starter
- #121
Ndugu,nimeandika boyfriends na girlfiends tu ili nisiwakatishe watu tamaa na kuwatisha,tena huko kwenye wake za watu na waume za watu ni balaa,watu wanazungukana hatari.hisia ni zilezile tu.Hata hivyo yote inategemea naujasiri wa mtongozwaji,kuna watu wanatoka na wake au waume wa wenzao huwezi amini.humo kwenye nyumba za kupanga ama nyumba za kota ni noma Dada yangu usisiskie watu wanazungukana sana,nina mifano hai siwezi kusema humu.ila mimi sihusiki kwa namna yeyote ile.umeona eeh? Kuchukua boyfriend wa rafiki sio dhambi, labda mume