Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,573
Je kama vigezo vya kupewa anavyo na hakuna mfano??hakikisha humpi
Je kama vigezo vya kupewa anavyo na hakuna mfano??hakikisha humpi
Hata sikai kwake.Tumia fursa mara moja ukimnyima kama unakaa kwake jiandae kukutengenezea zengwe
Wew hekima ipo.Mahusiano ni falsafa ndefu ambayo imeshikwa na viungo vingi katikati kama marafiki au familia, kwa hiyo unapokuwa na mpenzi ni lazima utamtambulisha kwa ndugu, jamaa, marafiki na wengineo ambao watakuwa ni watu wa karibu nawe kwa wakati huo
kuna marafiki wa aina nyingi sana katika urafiki wetu. Kuna maeafiki ambao wana utu na heshma na kuna wengine ambao ni mashetani wanaoasubiri uanguke wao wapate kushika nambari yako. Sasa ukiwa umezungukwa na marafiki hao basi jua usimuonyeshe jambo lako lolote ambalo linakuhusu kwani mwisho wa siku lazima apambane naye awe nalo bila kuangalia gharama wala maumivu ambayo atakusabibishia katika upatikanaji wa jambo hilo
Hili ambo ni la kawaida sana na inategemea na urafiki mlionao na kutokuwa na uaminifu atika urafiki wenu. Sometimes demu anaweza akajiegesha kwa mshkaji baada y amshkaji kuonekana kama anasomeka sana kwa demu kuliko kwa mshkaji ambaye ndo ana demu,kama mshaji sio mstaarabu anaamua kumega kimya kimya ila demu naye awe na staha kwa mshkaji.
Kubwa ni heshima kwa pande zote mbili. ingawa inauma sna ukija kugundua kama unamegewa demu wako na mshkaji wako wa karibu ambaye mwanzo alikuwa anajua mahusiano yako tena anayakubali hatari.
Poleni sana kwa wale ambao walishatendewa hayamambo ila kwa uupi haya mambo yapo kwa sana
Bwana Yesu akubarikiWew hekima ipo.
hahaaaaJe kama vigezo vya kupewa anavyo na hakuna mfano??
ukishikwa unagawa uroda kwa jiran si itakuwa balaa tupu aka tafuranAah! Mi pia binaadam na ninahisia na na sunna inaruhusu.
Nilikuwa na dem wng akanitambulisha kwa rafiki yake akawa na tabia ya kuja na huyo best ake geto,, haikupita mda yule Dada akawa anavizia anakuja mwenyewe geto kunitembelea, siku akatoroka chuo akaja geto mvua ikawa inanyesha, tulijikuta tumebanduana mala kadha, mpk Leo dem wng hakuwahi kujua kilichotokea!Kwa wanaume je ulishawahi kuwa na rafiki yako akakuonesha mpenzi wake wa kike (girlfriend wa rafiki yako)halafu baadae ukafanya tamaa kisha ukamzunguka rafiki yako kwa siri kisha ukala penzi? ama wewe mdada ulishawahi kuoneshwa mpenzi wa rafiki yako wa kike (boyfriend wa rafiki yako),kisha ukafanya hila, ukamzunguka rafiki yako ukamlia vyake?
Swali tete!
hahaaaa
she must make it blind
Hahaaaa sasa huko umeenda mbali.ukishikwa unagawa uroda kwa jiran si itakuwa balaa tupu aka tafuran
mpatie tuMi naomba niseme tu ukweli, sijawahi ila kuna shem kanizimikia.
Sio swali tete mademu wanafanya sana hiyo Kwa marafiki zao.Kwa wanaume je ulishawahi kuwa na rafiki yako akakuonesha mpenzi wake wa kike (girlfriend wa rafiki yako)halafu baadae ukafanya tamaa kisha ukamzunguka rafiki yako kwa siri kisha ukala penzi? ama wewe mdada ulishawahi kuoneshwa mpenzi wa rafiki yako wa kike (boyfriend wa rafiki yako),kisha ukafanya hila, ukamzunguka rafiki yako ukamlia vyake?
Swali tete!
Akitimiza masharti nitampatiampatie tu
Imeni touch. 100%Wakati mwingine rafiki yako anaweza kuwa njia ya wewe kujipatia mpenzi wa maisha. Komenti yangu haihusiani na mada