Haya matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu

Da'Vinci

JF-Expert Member
Dec 1, 2016
35,694
106,841
I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!😟😢

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul😟
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Sipendi kuambiwa All gonna be alright, sipendi kuambiwa I miss you, Sipendi kuambiwa So and So Napenda niwe mimi tu Just me☺️🤗

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

[Enyi Introvert, Jihadharini na Upweke. Upweke sio jambo Zuri.]

255747042707_status_ebf1a96fbb3e4190b75f49f284fb7fe0.jpg
 
I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Napenda niwe mimi tu Just me

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

View attachment 2529893
Kwenye picha, hiyo namba ya simu ni ya nani?
 
I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Napenda niwe mimi tu Just me

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

View attachment 2529893

Hasa ninyi wandani (introverts)
Tatizo kuna Raha sana kuwa mwenyewe mwenyewe, hakuna usumbufu, ni Raha tu. Naweza kuamua kutafuta sehemu iliyotulia mfano kwenye miti nikatulia zangu, au kukaa ndani siku nzima...yaani kuna Raha sana...hayo mengine sasa
 
I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!😟😢

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul😟
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Napenda niwe mimi tu Just me☺️🤗

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

View attachment 2529893
Kweny maisha lazima uwe na mtu ambae asipoona simu yako siku hyo au ww usipoona yake unahisi kupungukiwa.
Sio lazima awe ni mchumba ako, Mtu huyo anaweza kua yyte yule ambae anajali, anaupendo, kuna baadhi ya vitu mnafanana na kuheshimiana.
Kazi ya kutafuta mtu wa namna hyo si ngum kwa sabb watu wa namna hyo tunao kila siku kweny maisha yetu ni swala la kutambua tu.

Binadamu tukipendana, tukashirikiana, tukashirikishana matatizo yetu na kufarijiana kutapunguza vifo vya namna hyo.
 
I hope y'all are doing just fine, and so Do I.

Straight kwenye mada...
#1:
4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa akiugua ugua ila alitoa taarifa kwenye uongozi wake wa Choir, back then nami nilipenda kushiriki shiriki masuala ya kanisani. Ndipo nilipomjulia huyu mtu japo tulikua maeneo tofauti but... kulikua na taratibu zilizowekwa na makasisi kwamba kila mwisho wa mwezi wahudumu wa kutoka Vigango mbalimbali katika parokia yetu wanakutana.

So that Guy....alikua mgonjwa mgonjwa but he was a loner and eligible bachelor. Alifariki akiwa chumbani kwake aligundulika after 3 days. So Sad!

#2:
Wiki hii kuna mtu nilienda kumtembelea eneo xxxxx nyumba ya 5 kutoka tulipokua tukasikia kelele watu wanalia na kupiga ukunga. Ikabidi tuende kufaham tatizo ni nini....O my G it was a scarest thing you'll ever see. tulikuta mtu kafariki kajifungia ndani. Alijilaza tu akapitiliza siku 4 haijagundulika kashavimba hata kumuinua haiwezekani.

Naye pia inasemekana alikua anatabia ya upweke upweke. May The almighty rest his/her poor soul
___
See, I also have this inclination and demeanour of being loner and Unsocial.
I don't like to be noticed and cared, I just like to be nobody and always to be the guy in the Corner that no one knows. When someone would ask who that guy(me) and others will answer... That's just a guy in the Corner.

Sipendi Kusema nimeenda wapi, sipendi kuulizwa upo wapi, sipendi kuulizwa vipi haliyo unaendeleaje, Sipendi Kuambiwa Pole. Napenda niwe mimi tu Just me

But hayo matukio yamenifanya nijitafakari upya tabia zangu hizi. I think I neef to recalibrate my Behavior.
Wito.
Mnaokataa ndoa angalieni yasiwakute hayo matukio unaumwa getho huna hata wa kumtuma Paracetamol pharmacy unakufa ukiwa unajiona. Mwenye ubongo na ajitafakari!

View attachment 2529893
Yaaani bro upo kama mimi yaani sipendi kujumuika na watu kabisa leo nimetoka chumbani nimekaa kaa njeee nasikia kama battery low daaah
Asante Mungu kwa kunifanya introvert umeniepusha na mengi sana



Introverts to the world
download.jpg
 
Kweny maisha lazima uwe na mtu ambae asipoona simu yako siku hyo au ww usipoona yake unahisi kupungukiwa.
Sio lazima awe ni mchumba ako, Mtu huyo anaweza kua yyte yule ambae anajali, anaupendo, kuna baadhi ya vitu mnafanana na kuheshimiana.
Kazi ya kutafuta mtu wa namna hyo si ngum kwa sabb watu wa namna hyo tunao kila siku kweny maisha yetu ni swala la kutambua tu.

Binadamu tukipendana, tukashirikiana, tukashirikishana matatizo yetu na kufarijiana kutapunguza vifo vya namna hyo.
Lovielovie kama mamiemamie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom