Haya mapenzi ya single mothers ni unafiki mtupu

Haya mapenzi ya single mothers ni unafiki mtupu

Hata mimi nilikuwa nae, ila jana usiku nilimfuma na mwanaume mwingine. Nikaongea nae na kumuonya juu ya 'staili' ya maisha anayoishi nayo ya kubadilisha wanaume kila mara na ajabu ana watoto wanne lakini kila mtoto na baba yake. Niliamua kuachana nae kabisa jana hiyo hiyo, na nimekaa nikafikiri sitokuja kuoa wala kuwa na mwanamke aliyezaa watoto tayari maana nimegundua wanakuwa hawana mapenzi ya dhati na hawaaminiki kabisa. Imeniuma sana.
Pole sana mkuu ila nawe mwanamke mwenye watoto wanne tena kila mmoja na babake ulijilipuaje hapo? You are a risk taker mkuu.
 
Pole sana mkuu ila nawe mwanamke mwenye watoto wanne tena kila mmoja na babake ulijilipuaje hapo? You are a risk taker mkuu.
Hapana Mkuu, hiyo yote ilikuwa ni upendo tu ulionifanya nimpende na kuamini kuwa anaweza kubadilika ila nilichokiona hakistahili kabisa.
 
issue hapo ni simple tu, sahivi vigori ni weengi ukiona aina flani ya wanawake haikupendezi unaachana nao unachukua ile inayokufaa na sio kulalamika mitandaoni. temana na hao single mother opoa kitu fresh yaishe. kitu usichokitaka unakuwa nacho cha nini? ndege wafananao huruka pamoja[emoji5] [emoji3] [emoji2]
 
pole
na mwanamke anayemtongoza mwanaume kuna walakini
 
Poleni wakuu kwa yaliyowakuta kwa hao "single mothers."
 
Mie naona umewatia hila sabab wamekataa kuzaa na wewe, Kumbuka hakuna mwanamke anapenda kuzaa nje ya ndoa (Ni wachache sana? wapo walozaa kutegemea kuolewa na jamaa na haolewi sasa ukutane na mtu kama huyo halaf akubali tena kuzalishwa si atakuwa ni mjinga, Ingekuwa umewatangazia ndoa halaf wakakataa sawa, ila wataka kuzaa tu, si uende morogoro road wapo wasichana wanaomba omba pale chukua mmoja zaa nae.
 
Hadi sasa hawajaja kukuattack una bahati sana!nahisi wanasubiri wa kumfunga paka kengele
 
Teh teh teh teh! mpambano bado unaendelea...!: single brothers vs single mothers ! Sijui nani refariiiiii!! Hahah! Ngoja leo nipiteee...!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom