BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
Ofcourse jamaa kuwaamini ni issue. Jamaa alisimama ibadani akasema jiwe anachapa kazi, ilhali wanajua ukweli.
Hayo maneno wanadai yalikuwa ya mwisho toka kwake, ni kama yapo cooked
Ofcourse jamaa kuwaamini ni issue. Jamaa alisimama ibadani akasema jiwe anachapa kazi, ilhali wanajua ukweli.
Hayo maneno wanadai yalikuwa ya mwisho toka kwake, ni kama yapo cooked
Haya meneno yanatrend sana mtandaoni kwamba ndio maneno ya mwisho ambayo magufuli alimwambia Pengo hospitalini dakika zake za mwisho kabla hajaaga dunia,Maneno yenyewe ni haya.
Haya maneno ni ya kweli? Kuna mahali Pengo kanukuliwa akiyasema?..
Haya haya haya" Tafadhali nawaomba msihangaike wala kupoteza Pesa kunipeleka popote kwani naona Siku zangu zimefika mwisho kutokana na hili tatizo nililonalo, ila endeleeni Kushikamana, Kuchapa Kazi na Kutanguliza Mama Tanzania. Naombeni tusali kwa pamoja na Baba Askofu Pengo na Ndugu yangu Mufti na nitaongoza Sala Mwenyewe kisha na Wao wataniombea nikimaliza Asanteni "
Na msaliti mzee wa MIGA Lisu anashangilia sana.
Amefikia hatua ya kuionea aibu maiti kwamba kwa nini inaliliwa sana
Akasema na hv tena....... Ifke mahali tuache huyu baba apumzke" Tafadhali nawaomba msihangaike wala kupoteza Pesa kunipeleka popote kwani naona Siku zangu zimefika mwisho kutokana na hili tatizo nililonalo, ila endeleeni Kushikamana, Kuchapa Kazi na Kutanguliza Mama Tanzania. Naombeni tusali kwa pamoja na Baba Askofu Pengo na Ndugu yangu Mufti na nitaongoza Sala Mwenyewe kisha na Wao wataniombea nikimaliza Asanteni "
Tupia hapa hilo gazeti mkuuAccording to the Kenyan newspaper the Daily Nation , Magufuli was discharged from Nairobi Hospital while on life support and flown to Tanzania's capital Dar es Salaam late last week after doctors concluded that he could not be resuscitated.
The publication said he died at Mzena Hospital in Tanzania shortly after arrival from Kenya on Thursday 11 March, countering the announcement by the government that he died a week later on March 17.
Citing sources, the Daily Nation said Magufuli "was flown to Kenya secretly on March 8 after suffering acute cardiac and respiratory illnesses, was under intubation when a decision was made to fly him back home".
Daily Nation said his entry and exit from Kenya was a guarded affair and that only select National Intelligence Service (NIS) officials and members of the National Security
Hebu Baba Askofu Mkuu Mstaafu aachwe amalizie pension yake vizuri asichumiwe dhambi asiyostahili! Eti yanasema aliongea naye tarehe 16/03/2021, sasa Pengo akisema alimpa kitubio tarehe 8 watasemaje?Haya meneno yanatrend sana mtandaoni kwamba ndio maneno ya mwisho ambayo magufuli alimwambia Pengo hospitalini dakika zake za mwisho kabla hajaaga dunia,Maneno yenyewe ni haya.
Haya maneno ni ya kweli? Kuna mahali Pengo kanukuliwa akiyasema?..
Mataga walitunga hao.Haya meneno yanatrend sana mtandaoni kwamba ndio maneno ya mwisho ambayo magufuli alimwambia Pengo hospitalini dakika zake za mwisho kabla hajaaga dunia,Maneno yenyewe ni haya.
Haya maneno ni ya kweli? Kuna mahali Pengo kanukuliwa akiyasema?..
Mkuu,iliposemekana muheshimiwa rais amefariki wewe ulisema kuwa ni mzima na amefunga kwaresma,na source yako ilikuwa ni waziri wa nchi hii,lakini haikua hivyo...ukweli ni kwamba uliweza ku-shatter down your credibility kwa kauli zako mwenyewe.Ndugu zake wamesema hivyo, Kardinali pengo naye sasa kasema hivyo, na wanasema hata Sheikh mkuu pia alikuwapo; je wote watakuwa wanasema uwongo kweli?
Hivi hii kauli aliisema kwenye tukio gani?Mimi nachojua maneno ya mwisho yalikuwa
"baki na mavi yako nyumbani"
Huyu mjinga mjinga tu huko aliko anafkiri hatujui,Msamehe 7 Mara 70 Chief!
BAK life is certainly serious but really, not to that extent!
Tuvumiliane! It’s Life!
Basi mwambie Samia ampe janeth umakamu ili mtuongoze vizuriUnahamaje mwaya na sisi ndio marais wa nchi jomonii...😂😂
Hawezi kusamehewa na haitatokea. Na nikienda mbinguni nimkute na kula kona faster na kwenda motoni kuzimu bor
Saul aliua na kuwatesa wafuasi wa Yesu lakini baadae alitubu na kusamehewa na kua mfuasi wa YesuAmesamehewa kama nani aliyepata kusamehewa tupe mfano