Haya magari ya umeme toka China yanashawishi

Extrovert

JF-Expert Member
Feb 29, 2016
67,124
173,993
Sijui tunafeli wapi wanazengo ila kimsingi natamani sana kama tungeanza kuhamia huku mdogo mdogo.
DDD45FF1-9202-4F12-88E6-34B76CEE37CD.jpeg

Hii gari ni ya usd 8000 tu roughly kama 18.5m hivi kwa wanaonunua gari za 25-30M naona kama hii chuma inanunulika kabisa.

Kigari kina Range ya 360KM per single charge which is fair enough kwa mizunguko ya mjini with 150KPH top speed which is also fair kwa mjini. Battery la 45.2KwH with fast charging ya 100% ndani ya lisaa limoja au 10 hrs standard charging.

Kwa gharama za mafuta naona kama hii ni option nzuri na mbadala au nasema uongo ndugu zangu?
 
Sijui tunafeli wapi wanazengo ila kimsingi natamani sana kama tungeanza kuhamia huku mdogo mdogo.View attachment 2078838
Hii gari ni ya usd 8000 tu roughly kama 18.5m hivi kwa wanaonunua gari za 25-30M naona kama hii chuma inanunulika kabisa...?
Hivi TRA wamesha ingeza nishati ya umeme kwenye orodha ya nishati ziendeshavyo magari/ pikipiki?

Pikipiki zaumeme hazisajiliwi TRA kwakuwa kwenye card ya usajili inaonesha chombo ni eidha ⛽ petrol au diesel ⛽
 
Hivi TRA wamesha ingeza nishati ya umeme kwenye orodha ya nishati ziendeshavyo magari/ pikipiki?

Pikipiki zaumeme hazisajiliwi TRA kwakuwa kwenye card ya usajili inaonesha chombo ni eidha ⛽ petrol au diesel ⛽
Naona bado sijui watazichajije hizi? Kwenye mfumo hazipo
 
Unchosema ukweli ngoja nitafute pesa nivute kimoja tena kiwe na sola panel roofing pamoja na autocharging system kama ya Dynamo ya baiskeli.

Tayari nimeongea na engineer wangu mchina juu ya namna ya kuweza kuvifungua seti mbili ya engine mbele na nyuma kwa ajili ya kutengenezea torque ambapo mbele iwe na range ya KM 250 na nyuma km 250 na kati pale tunafunga charging mechanism ambapo kama ikiwa inaendesha mbele basi ile torque ya mbele inafanya recharging ya nyuma and vice versa huku sola panel ikifua umeme kwa ajili ya matumizi mengine ya gari.

Nafikiri kama hizo zikiwa made in Tanzania na Tanesco wakifunga Charging station za kutosha tunaweza tukatumia umeme wa Stiegler kufanya TZA iwe nchi ya magari ya umeme.

Sisi hapa tiutahangaika kuunda chasis pamoja na engine zake tu. Parts nyingine tunaweza agiza tu kutoka nje.

Vipi unaweza kuwekeza humo?
 
Hivi TRA wamesha ingeza nishati ya umeme kwenye orodha ya nishati ziendeshavyo magari/ pikipiki?

Pikipiki zaumeme hazisajiliwi TRA kwakuwa kwenye card ya usajili inaonesha chombo ni eidha petrol au diesel
Pikipiki zinaitwa baiskeli za umeme kwa hiyo ukinunua ni mtelezo tu. Na Mchina ameweza kweli maana ina pedal za baiskeli ikiisha charge ghafla unanyonga tu kama baiskeli.
 
Sijui tunafeli wapi wanazengo ila kimsingi natamani sana kama tungeanza kuhamia huku mdogo mdogo.View attachment 2078838
Hii gari ni ya usd 8000 tu roughly kama 18.5m hivi kwa wanaonunua gari za 25-30M naona kama hii chuma inanunulika kabisa...
That’s the future bro.

Na hapo unaweka charging station yako nyumbani.

Ni muhimu kupata reviews kabla ya kununua kutoka kwa wale wanaotumia. Manake Huyo Mchina, bei rahisi ndio lakini usije ukanunua boya.
 
Sijui tunafeli wapi wanazengo ila kimsingi natamani sana kama tungeanza kuhamia huku mdogo mdogo.View attachment 2078838
Hii gari ni ya usd 8000 tu roughly kama 18.5m hivi kwa wanaonunua gari za 25-30M naona kama hii chuma inanunulika kabisa..
Mziki wake hizo gari ni battery ikifa, bei yake ni almost nusu ya manunuzi ya gari na lifespan yake ni miezi 18 kama ukizingatia masharti ya kuchaji
 
Unchosema ukweli ngoja nitafute pesa nivute kimoja tena kiwe na sola panel roofing pamoja na autocharging system kama ya Dynamo ya baiskeli,.
Tayari nimeongea na enginee...
Mzee SI unit ya torque sio kilomita, Mana torque =Force*distance
 
Back
Top Bottom