Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,829
- 50,508
- Thread starter
- #21
Kwani maandamano yanafanyikia kwenu Mbweni??Mafuriko yataathiri maandamano š¼
Kwani maandamano yanafanyikia kwenu Mbweni??Mafuriko yataathiri maandamano š¼
Rufiji wakae mkao Wa kula.Kwani kuna bwawa huko nako?
Mbweni yalikuwa Mashamba ya mpunga ššKwani maandamano yanafanyikia kwenu Mbweni??
Ilibidi wauzime ama uliendelea kuangaza
Mimi sifatiliagi huo Moto wa washirikina.Ilibidi wauzime ama uliendelea kuangaza
Wananunua mashaangingi barabara ndiyo hizo
Bin adamu ni wabishi sana ojwang analia kama punda!
PoleniMuda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
View attachment 2973379
Mbingu hapapitiki labda kwa trekta.....barabara zimeharibika kabisaJana walikua wapi, hivi wameshafika mbingu
ikoMuda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
View attachment 2973379
Muda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji. Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao. View attachment 2973379
Muda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
View attachment 2973379
Na wewe ni mhanga wa mafuriko Dar?Yaani watu wengine mnakera, hayo nayo unayaita mafuriko???? Je sisi wa Dar tusemeje???