Na wewe una vinasaba vya utahira,
Kwasababu hujui maana ya kuendesha gari na kuongoza gari.
Lakini pia udereva sio kujua control reverse nk
Nadhani nikusaidie kitu kimoja..kwa sauti ya upole kabisa udereva ni kujua kufahamu na kutii alama za barabarani sio kujua kuwasha gari pekee..
Lakini pia inategemea na aina ya udereva, wewe ni dereva uchwara wa kwenda na kurudi kazini..tena na auto yako(IST)
Sisi wenzako udereva ni ajira, sio local ni transit..so tunahitaji nyaraka muhimu kutoka registered training Institution, ili kwenda na nyakati.
Sasa kama unadhani mimi ni sawa na wewe pole.
Nimalize kwa kusema wewe ni tahira kwasababu hujui dereva ili akamilike anahitaji mambo mengi na sio control ya gari
Shame on you sugar mamy