The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,118
- 115,952
Kuna maamuzi mengi ya serikali hii ya awamu ya tano unajiuliza tu nani ni 'mastermind'?
na anajua hasa hasara ya maamuzi hayo au ili mradi 'sheria zifuatwe'?
La kwanza ni la vyeti feki.....binafsi nilifikiri walipaswa haswa kutazama vyeti bandia vya kitaaluma
ambavyo kama ni feki madhara yake yanajulikana...
lakini cha kushangaza wame concentrate sana na vyeti vya kidato cha nne...
Sasa unakuta mtu ana cheti bandia cha kidato cha nne lakini alitumia cheti hiko kusoma
taaluma akafaulu na kufanya kazi kwenye taaluma husika miaka hata 20
leo unakuja kumfukuza huyu mtu...hasara ni ya nani hasaa hapa?
mfano huyo mtu ni mwalimu au daktari.....je nani watakao athirika?
tuna walimu wa kutosha na madaktari wa kutosha?
Nimesikia tetesi kuna Professa wa Chuo kimoja maarufu kakamatwa na cheti cha form four
feki...proffesa huyu keshafundisha wanafunzi tele anakaribia kustaafu.....
Kama vyeti vya darasa la saba wamesema havina umuhimu..tujiulize na hivi vya form four
kuanza kuvichimba chimba leo kuna umuhimu gani iwapo wahusika wana vyeti vyao vya kweli vya taaluma zao? au ndo 'siasa za kukomeshana kila sekta' tu?
hivi hili zoezi ndo linajenga au linabomoa?
Sasa tuje na maamuzi ya kufunga biashara za wote wanao tuhumiwa kukwepa kodi..
je tukifunga hizo biashara na wanaotegemea hizo biashara kufilisiwa
ndo tumejenga?
Kwanini wasiwekewe utaratibu wa kuanza kulipa hata kidogo kidogo taratibu?
walioajiriwa kwenye biashara hizo je? hatuwajali?....
kama mtu hajalipa kodi miaka 10 je hatuoni ni uzembe pia wa serikali?
kufilisi na kufunga tu kila biashara wakati ukwepaji kodi ulikuwa kama ni utamaduni wa nchi nzima
kunasaidia nini?....si bora walazimishwe kulipa hata nusu ya kodi wanayodaiwa?
na biashara zao zibaki kuajiri na kuchangia uchumi?
na anajua hasa hasara ya maamuzi hayo au ili mradi 'sheria zifuatwe'?
La kwanza ni la vyeti feki.....binafsi nilifikiri walipaswa haswa kutazama vyeti bandia vya kitaaluma
ambavyo kama ni feki madhara yake yanajulikana...
lakini cha kushangaza wame concentrate sana na vyeti vya kidato cha nne...
Sasa unakuta mtu ana cheti bandia cha kidato cha nne lakini alitumia cheti hiko kusoma
taaluma akafaulu na kufanya kazi kwenye taaluma husika miaka hata 20
leo unakuja kumfukuza huyu mtu...hasara ni ya nani hasaa hapa?
mfano huyo mtu ni mwalimu au daktari.....je nani watakao athirika?
tuna walimu wa kutosha na madaktari wa kutosha?
Nimesikia tetesi kuna Professa wa Chuo kimoja maarufu kakamatwa na cheti cha form four
feki...proffesa huyu keshafundisha wanafunzi tele anakaribia kustaafu.....
Kama vyeti vya darasa la saba wamesema havina umuhimu..tujiulize na hivi vya form four
kuanza kuvichimba chimba leo kuna umuhimu gani iwapo wahusika wana vyeti vyao vya kweli vya taaluma zao? au ndo 'siasa za kukomeshana kila sekta' tu?
hivi hili zoezi ndo linajenga au linabomoa?
Sasa tuje na maamuzi ya kufunga biashara za wote wanao tuhumiwa kukwepa kodi..
je tukifunga hizo biashara na wanaotegemea hizo biashara kufilisiwa
ndo tumejenga?
Kwanini wasiwekewe utaratibu wa kuanza kulipa hata kidogo kidogo taratibu?
walioajiriwa kwenye biashara hizo je? hatuwajali?....
kama mtu hajalipa kodi miaka 10 je hatuoni ni uzembe pia wa serikali?
kufilisi na kufunga tu kila biashara wakati ukwepaji kodi ulikuwa kama ni utamaduni wa nchi nzima
kunasaidia nini?....si bora walazimishwe kulipa hata nusu ya kodi wanayodaiwa?
na biashara zao zibaki kuajiri na kuchangia uchumi?