Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Mimi kiswahili kinanipiga chenga Miaka zaidi 2 sipo huko bongo kiswahili nimekisahau kidogo hilo neno (Marinda) lina maana gani? hebu nieleweshe bibie Mwalim wangu?yaani limewagusa wengi sana hasa ukizingatia wanaume wa dar ndo wanaongoza kwa kutokuwa na marinda??
MziziMkavu njoo uniambie ivi marinda yakoge mangapi tena?