Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Huyo mtaalamu amesema kweli kabisa. Nipo Kaisho na watoto tunakula sana senene na matunda adimu yaitwayo amashaza achilia mbali ndizi kwa wingi zilizochanganywa na vitu vya asili vingi ikiwemo entura! Naona matokeo chanya hapa kama anavyosema mtaalamu ...🤣🤣

Mnavyokula basically vipo pengine pia...

Labda uniambie genetically brain zenu zina-retain na ku-process large information accurately zaidi ya wengine...kitu kama hicho!

Ila kuhusu vyakula,sijui samaki,sijui nini na nini its a pile of bullshit kwasababu across tropical Africa the same food stuffs ni hizo hizo!
 
Si kweli , labda tu ile akili ya kuchomeka wenzao kazini . Mahali penye mhaya ofisini mwenye cheo ujue wanaoajiriwa wengi ni Wahaya . Wachaga wana akili ya darasani na ya maisha lakini mambo yao kimyakimya hawatambi .
 
Akili yao imesaidia vipi taifa na jamii kwa ujumla,? Maana tupo nao huku street hatuoni hizo akili walizonazo
Ni ajabu, tunapowasifu mfano wazungu, unaona akiliza zao zimesaidia nchi zao na hata mataifa mengine.
Sasa kabila hili kama lina akili na lipo Tanzania tu, basi Tanzania tungenufaika sana na hawa watu, na tungewapiga gepu mataifa mengi ya Afrika.

Sasa hawa wahaya hata kiwanda cha baiskeli hawana.
 
Ni ajabu, tunapowasifu mfano wazungu, unaona akiliza zao zimesaidia nchi zao na hata mataifa mengine.
Sasa kabila hili kama lina akili na lipo Tanzania tu, basi Tanzania tungenufaika sana na hawa watu, na tungewapiga gepu mataifa mengi ya Afrika.

Sasa hawa wahaya hata kiwanda cha baiskeli hawana.
Wana kiwanda cha katerero
 
Kama aliyetoa hayo maoni ni mhaya then sioni kama Kuna haja ya kuumiza kichwa bali kumpuuza tu! Pride is the mother of arrogance!! Ni mhaya gani kafanya lolote ambalo unaweza sema kwamba,"Huyu mtu kichwa!". Kugundua katerero au?
Kwa iyo hata Maxence Mello Mubyazi muanzilishi wa Jamii Forum umkubali,
Basi wewe nimbishi, unaweza bishana hata na Radio
 
ANGALIZO:-


Nimeangalia hoja mbalimbali humu lakini kila mmoja anavutia upande wake au anaeleza vile anavyojua kuhusu akili, mimi nadhani kwanza yatupasa tujue akili ni nini?? Baada ya hapo ndipo tuje kutafuta nani anazo na nani hana!!??.
 
Mimi ni wa huko. Siwezi kusema kwamba nina akili. Ila serikali iliyonichagua nikasome sekondari ya watoto wenye vipaji maalum (Mzumbe) huenda waliona ninazo.
 
Akili yao imesaidia vipi taifa na jamii kwa ujumla,? Maana tupo nao huku street hatuoni hizo akili walizonazo

Akili na uzalendo sijui misaada vitu viwili tofauti kabisa.Hapa ndo tunapoanzia kuona kwamba huko kwenu kuna tatizo hata la kuchanganua jambo dogo kama hili.
 
Juzi kati nilikuwa natazama kipindi kimoja kinarushwa ITV kinaitwa "MEZA HURU". Mada ya kipindi hiki ilihusu UBONGO na walimualika mtaalam mmoja ambaye ni daktari bingwa wa masula ya ubongo kutoka Muhimbili.
Huyu mtaalam kwa kabila ni Muhaya.

Mwisho wa kipindi mtangazaji alimuuliza kuwa inasemekana wahaya ndio kabila lenye akili sana Tanzania, je, ni kweli?

Mataalamu yule alijibu ni kweli kabisa na akatoa sababu tatu,

KWANZA, akasema Wahaya wanaishi kando ya ziwa victoria na hivyo wanakula samaki sana ambazo zinawaongezea sana uwezo wa akili.

.
Hapana ila ni watu wabishi sana yani niwa bishi balaa hasa kama wanahisi hicho kitu wanakijua we umekosea.
 
Ukisema Wahaya hawajawai kufanya kitu kikubwa kikatambulika kitaifa huku ukiandika kwenye jf ambayo CO wake mero ni Mhaya nakuona kichaa
 
Akili na uzalendo sijui misaada vitu viwili tofauti kabisa.Hapa ndo tunapoanzia kuona kwamba huko kwenu kuna tatizo hata la kuchanganua jambo dogo kama hili.
Hizo ni akili gani zisizoonekana banaaa? Wenye akili wanaonekana sehemu yoyote hata huku mtaani au mashuleni mbona wapo kawaida tu kama sie?
Unatetea ujinga utakuwa muhaya wewe. Eleza vzr ni akili gani mlizonazo ambazo makabila mengine hawana.
 
Back
Top Bottom