Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Mmecomment vizuri, ila sijaona akisema waliisaidiaje Tanzania pamoja na usomi huo. Waligundua nini au legacy walioiacha TZ. Akiachilia mbali tabia hii ya kikabila na kutaka kujitenga na waTZ wengine kuwa wao nibora uliko wote hakuna cha msingi mtoa mada amekisema kinachoweza kuwasaidia WaTZ katika andiko lake.
Wahaya hata kabla ya kuja kwa elimu hii ya mkoloni..ni watu wenye akili sana tena hii nchi ndo imewachelewesha, wangekuwa mbali mno..

Wahaya ni moja ya makabila ya mwanzo ulimwenguni kugundua ufuaji wa vyuma...tazama hii video chini..



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Walibebana hao hamna kitu wasomi wapo kibao kila kanda sema wao wabebana ukianza na justian ambaye ndo wa kwanza kupata PhD Harvard ili ndo ilipelekea sana kubeba wenzio

Uhalisia ni huu nyie ni maskini sana namaanisha wahaya masikin mno huwezi hata kuwanonea wivu kozi ni maskini wa kutupa
Sasa unakasirika nini


Hiv vyuma unavyotumia wew ...wahaya ndo waligundua miaka 2000 nyuma huko...

Hebu tazama hii video.



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu moto wa kuotea mbali pia
Amekosea huyo!! ange sema hivii mabingwa wa kukariri vya wenzao!! ambavyo vimesha fanyiwa kazi! wao pia wanarudia mule mule!…...hao walishindwa na Nyerere yeye aligundua Ujima,

sasa huyo Nyerere ndo Msomi!!….Mwita chacha Manko na Machumu jirambwene hawa jamaa waligundua mashine ya kusafisha ndege hata ikiwa angani!! wakaenda mbali Zaidi wakagundua

hata kusafisha watu wakiwa wamekaa vitini mwao bila Bughudha! kingine ambacho ni very unique ni pia air cond. za kiunoni! ni Musoma, Mugumu Serengeti pekee tuu, ndo wana hii tech.zo,

kamwe hizi hutozipata popote Duniani humu, chunguza uone! nilicho kiona serikali wanaogopa hati milki za wazungu, japo zile gunduzi ni za kipekee tofauti na gunduzi za wazungu!

km bado wanafunzi wajita waliokuwa masomoni huko majuu, ndo waligundua viwanja vya ndege vya ghorofa! yaani ndege zinatua kwa number!! so ndege zikitosha uwanjani termina 1,

huo unajifunga wenyewe outomatically then! Run way nyingine ya terminal two, inajifungua ghorofa inayo fuata automatically! na hapo jua ndege inakuwa computerized kabisa kuwa

ikifikia km kadhaa kusini, lazima itatua terminal seven! na km kuna shida yeyote iwayo ndege ile itazunguka angani tuu, mpaka pale ile terminal irejee kivizuri kitu ambacho ni rare vilevile!

soitafanyikoa ivooo mpaka unafika ghorofa ya saba juu kabisaaa juu!! tena uwanja unatumika pande zote nne! hakuna haja ya ndege kuongozwa na control tower!...na kama

Labda ikitokea dharula yeyote isiyotegemewa uwanjani!! ndege ile inajifungua humu pembeni taatiibu! na
wkt huo huo ile run ways ina ishikisha brakes pole pole!

kwa kuwa ina bonyea bonyea! hivi! km viganja vya miguu ya paka! sasa hii inapunguza acceleration ya tyres za ndege kwa asilimia almost themanini! ili zisichakae haraka lkn pia zisishike moto ajili ya msuguano!

na pia ndege zita paa na kutoka kwa style iyo iyo, uzuri ni kwamba viwanja vya jisasa havishiki moto kabisaa! hata itokee ajali vipi…...abiria watarushwa pembezoni kwenye michanga maalumu ya tope laini mnoo lisilo chafua mtu! na

ndege itachanika km nguo tu, bila moto wenye madhara lkn pia hata km itashika moto ki vyovyote vile pembeni humo kuna automatic fire extinguisher za kufa mtu! zinatestiwa mara kwa mara!

Kulingana na Floor ya kiwanja husika pia wamegundua Lami ambayo haimalizi tyres za ndege haraka km nilivo sema hapo awali kuwa ni aina ya lami zinazo bonyea bonyea hivi na mtelezo mithiri ya unyayo wa paka!!

hizi ni nzuri kwa sababu tyres hazichoki haraka, kwakuwa runway haisababisshi msuguano mkali ina mbonyeo wa aina yake , siyo ngumu km Lami! sasa badala ya kubadili tyres za ndege miezi sita!!!

kwa sabau hii sasa waweza piga mpaka miaka kumi na mbili kwa uchache! sababu hazichuniki kirahisi kabisaa ati, LKN pia jua kuwa ni aina ya lami ambayo pia huwa na surface ngumu kiasi!

pale tu ndege inapogain momentum ya kupaa angani!

Kwa mantiki hii jua Lami inakula sana Tyres za ndege, sababu ya Unnecessariness' of surface frictions along de Tarmac hard run ways en rough surfaces ! ndo maana ndege ikitua lazima uwepo km mshindo hivi, na

ukichunguza saana utaona kabisaa tyres zinagusa Ardhi na kamoshi flani hivi huwaga Kana tokeaga hapo! sasa kale ka hali ndo kana kula tyres za ndege na gari pia imo!...pia huweza sababisha moto!

sasa hii process ndo husababisha tyres za ndege kuchunika na mpira kukamta lami na kama run way haita safishwa kwa kemikali maalum, na kwa muda maalumu!!

itasababisha utelezi usio wa lazima uwanjani, kitu ambacho ni hataree sana kwa watu na mali ! na km kiwanja kikitumika saana, bila lami kusafishwa na kemikali hiyo maalumu, mawee! mwafa!

hii hali inaweza kusababisha ajali mbaya na za mara kwa mara! hususani viwanja vya mburula wa nchi za AFRICA!.. kwa sabau hii .ndo maana madege mengine ya Aghalii kama Air Sabena, SWISS AIR, TWAA nk!

Hayo bana hayatumiagi viwanja vingi vya Africa mara kwa mara!....lkn kuna viwanja vingine Africa hii, ni very potential kwa hayo Mashirika mama ya ndege!

basi hapo Taifa husika huingia mkataba na nchi husika za kiafrica wa kuvisafisha viwanja hivo, kwa matumizi yao
mfano ni EmbakassyIA, Jomo kenytta IA, oliver Tambo IA! wabiwabiscHabel IA nk!

Mbali na hao wasomi nilo taja hapo juu Wana viijiji wakurya na wajita wamegundua Zaidi Madini ambayo ukichanganya na mabati ya trekta za kisasa na injini yake linaweza dumu miaka Zaidi ya nusu karne!

hapo ndo Tractor lako linaanza kuchoka! je utakuwa hujapata faida ya kutosha tu! kwako weye na watu wengine!

Pia haya mafuta/petrol haya haya tunayo tumia km ukigema mkojo wa punda kwa miezi kadhaa na ukapata Lita ishirini ukichanganya na petrol au diesel mafuta hayo yaweza dumu miaka hata kumi!

hapo ni utasahau km kuna Petrol stations! za kununua kuongezea mafuta ya gari lako!..ila tatizo ni kwamba injini ikichoka haitengenezeki tena….. lkn litakuwa limekuingizia faida lukuki!

Hii bana ikaenda ivooo! wazungu wakagundua hii janja ya ugunduzi lkn inasemekana wazungu walilijua hili kitambo sana ila hawakutaka kulitoa na kuliweka wazi ili wageme mipesa ya kutosha!

Sasa hali hii ikasababisha mafuta ya Magari yote kanda ya ziwa kupanda bei!! na aliye vujisha siri hii ni profesa Byarugaba!....na hapo ndo wazungu wakaanza kwa kasi kuunda Magari ya solar ili kuwapotezea wakurya soko!!

Ni hao hao!! wakurya waligundua kuviringisha kiustadi kutumia Minyororo km ile ya jembe la kukokotwa na ng'ombe (yaani plough) lile nyororo linaviringishwa kiustadi kwenye tyres za gari lolote liwalo!!

na kuifanya Gari ikite barabara kwenye tope zito lolote lile! na ikapita bila shaka! ni utashangaa hata km Ardhi inatitia au inateleza vipi gari litapita tuu!

pia faida nyingine inafanya zile tyres za gari zidumu mnooo! Make kinacho tumika pale ni lie nyororo kukita kwenye udongo Kifupi mkoa wa Mara Maisha ni rahis mnooo! ukipajulia pale!...

hizi Baiskeri hii unayo tumia kila siku unaibadili kiidoodgo sasa hapo waweza itumia kwa kilimo chenye tija na ukashangaa! haya yoote ni huko Tarime!...injini ya Honda one ten inweza endesha Meli ndogo ya abiria!

Hawa! hawa!! wajita wanajua hao watu wengi hapo kariakooo! wanaopita barabarani humo! wanazalisha Mega watts nyingi sana za umeme! kwa kile kitendo cha mtu kutembea na

kutupa mikono hivi shot/ kulia , na kukita miguu ardhini ile ni nguvu kani inayopotea Buree!..ila wakurya/wajita wanalifanyia kazi na wamefikia pazuri! wao wanafanya yanabaki humu humu!!

sasa hayo ni yao wao!! acha hapo kuna wana kijiji kabisaa walioiga kutengeneza ndege! hao ni weengi tu ila wakapigwa stop na serikali! wako mpaka humu JF, watafute!!

hiyo tu ya kupigwa stop na sirikali hasa kwa sababu zao wanazozijua hao sirikali ikawafanya wakurya wajifanyie yao kivyao na kwa faida zao za kurahisisha Maisha yao! …..serikali wakaiweka pembeni!

Mifugo kama ng'ombe mbuzi, kuku kondoo, mbali na vinyesi vyao kuwa na faida lukuki!! lkn pia kwa kile kitendo cha hao Wanyama kutembea tu, na kwenda malishoni na kurudi nyumbani,

wanakuzalishia umeme wa kukutosha kwenye familia yako, tena walianza kimchezo mchezo tu ivi!! yaani walifunga ng'ombe anaye tembea malishoni na Dynamoll za Baiskeli

ambayo ilikuwa inacharge betree!! ambayo hii betree ilifungwa kwenye mkanda wa kengere ulioko shingoni mwa ng'ombe husika!..na hata wale ng'ombe wanaojifunza kulima ni wazuri mnoo hao!

na huo umeme mbali na kukupatia mwanga! unaweza vutia maji kujaza kwenye Matank! Maji hayo ukatumia weye na mifugo wako, lkn eti Moshi Wanyama wao wanakaa na kula buree!.....

hapo bado hao wanyama wanakupatia Gas mwanana ya kupikia wanayo kuzalishia, sasa hii japo siyo tech. yao lkn wameijua mnoo matumizi yake! Tarime Maisha ni rahisi mnoo!

sasa hawa ni kwa uchache ninao wafahamu! japo hawa wamefanya kitu lkn sasa hao wahaya wako ni kwa kukariri tuuu mavitabu ya wenzao ili !! ahahahahah!!! si waende wakariri Musoma??
 
Back
Top Bottom