Haya are the most intelligent people in Africa (Eastward) followed by Kikuyu in Kenya

Poleni sana kwa uelewa finyu wa mambo. Yaani wewe na akili zako unaongea bila aibu kuwa, Wajapani walianza ku-industrialise mapema - inamaana hivyo viwanda vilijirusha kutoka mbinguni na kuangukia Kumamoto, Yamaguchi, Yokohama, Hiroshima, Sapporo na Osaka?
Msitufanye mazwazwa, mshindwe tu wenyewe halafu mnakimbilia kulaumu wengine.
Mmekuwa mkidai kuwa, baadhi ya makabila yalipendelewa kielimu: Dar es Salaam ni jiji tangu wakati wa uhuru na kuna shule nyingi kibao, mbona hatuoni Wazaramo na Wakwere huko elimu ya juu na badala yake tumezoea kuona jamii ambazo mpaka kufikia mwaka 1990, Wilaya nzima hakukuwepo sekondari lakini imekuwa ikitoa vijana smart wanaokimbiza kielimu?
Mkuu mimi nakutest tu nipate concept zako..
Sasa mkuu watu wanathamini kucheza Ngoma,kuchunga Mbuzi na Ngombe Nyikani na sio Ranchi unafikiri atafahamu umuhimu wa elimu? Nyie Wahaya ndugu zenu washaenda ulaya sababu ya Elimu wanarudi wananunua Ma VX wanajenga Nyumba safi wewe unafikiri utawaza nini zaidi ya Elimu? Ulishajiuliza ata maudhui ya miondoko ya Pwani na athari zake katika Malezi? Naamini wewe ni Muelewa ifike mahali mjifunze kusaidia baadhi ya Makabila bado yana Tamaduni za kijinga.Ujinga mkubwa ni pale fursa inaletwa katika jamii na jamii I nashindwa kuitumia
 
Kati ya Mhaya na Mkwere wa Bagamoyo na Mhadimu wa Zanzibar, ni wapi walianza ku-enjoy matunda ya elimu ya kizungu?
Wakwere na Mhadimu waliendekeza mila,desturi na ukaidi katika Elimu huo ndio Ujinga wao uliowafikisha hapa,bila naamini baadhi ambao washajua Mwanga ni nini watasoma.
 
Wakwere na Mhadimu waliendekeza mila,desturi na ukaidi katika Elimu huo ndio Ujinga wao uliowafikisha hapa,bila naamini baadhi ambao washajua Mwanga ni nini watasoma.
Kwa nini useme waliendekeza mila na kukaidi elimu? Kwa nini Wahaya ndio hawakuendekeza mila iwe Wakwere?
Kwani akili ni nini? Kama hawakuwa na uwezo wa kujua kipi kizuri (elimu) na kipi kibaya, utasemaje tena eti wana akili?
Wahadimu ndio walioanza kupata elimu huko Zanzibar, wakifuatia Wakwere wa Bagamoyo na kisha kusambaa Nchi nzima. Hata hivyo, kuanzia miaka ya 1890s - 1920s, hakuna maeneo yaliyokuwa na shule nyingi nchini Tanzania kama maeneo ya Pwani.
Hata hivyo, baada ya elimu ya sekondari kuanza kupanuka, walikuwa wakifanya mitihani ya Cambridge ili kuendelea mbele, so hapo ndipo ilianza kujitokeza tofauti kwamba, kuna baadhi ya maeneo wanafunzi wanaomaliza shule za msingi walikuwa bright zaidi kuliko kwingine - so utaacha kujenga sekondari Kamachumu, ama Mwakaleli, Kibosho au Nkoanrua, ambako wanafunzi wengi wanashinda mitihani ya shule za misingi uende ukajenge sekondari kwenye maeneo ambako wanafunzi hawashindi wengi?
Kama ni wewe una bajeti ndogo ya kifedha ya kuweza kusomesha mtoto mmoja na una watoto wawili wote wamefaulu mtihani, utachukua aliye na ufaulu mkubwa ama utachukua wa ufaulu mdogo?
 
Kwa nini useme waliendekeza mila na kukaidi elimu? Kwa nini Wahaya ndio hawakuendekeza mila iwe Wakwere?
Kwani akili ni nini? Kama hawakuwa na uwezo wa kujua kipi kizuri (elimu) na kipi kibaya, utasemaje tena eti wana akili?
Wahadimu ndio walioanza kupata elimu huko Zanzibar, wakifuatia Wakwere wa Bagamoyo na kisha kusambaa Nchi nzima. Hata hivyo, kuanzia miaka ya 1890s - 1920s, hakuna maeneo yaliyokuwa na shule nyingi nchini Tanzania kama maeneo ya Pwani.
Hata hivyo, baada ya elimu ya sekondari kuanza kupanuka, walikuwa wakifanya mitihani ya Cambridge ili kuendelea mbele, so hapo ndipo ilianza kujitokeza tofauti kwamba, kuna baadhi ya maeneo wanafunzi wanaomaliza shule za msingi walikuwa bright zaidi kuliko kwingine - so utaacha kujenga sekondari Kamachumu, ama Mwakaleli, Kibosho au Nkoanrua, ambako wanafunzi wengi wanashinda mitihani ya shule za misingi uende ukajenge sekondari kwenye maeneo ambako wanafunzi hawashindi wengi?
Kama ni wewe una bajeti ndogo ya kifedha ya kuweza kusomesha mtoto mmoja na una watoto wawili wote wamefaulu mtihani, utachukua aliye na ufaulu mkubwa ama utachukua wa ufaulu mdogo?
Ok,inatulazimu tukubali.Sasa watu kwenye Ajili/Ufahamu mkubwa Haya/Chaga na Nyakyusa mnafanyaje kuwasaidia jamii nyingine.Kwa upande wako unahisi nini kifanyike? Inasemekana ata kabla ya Mkoloni mfumo wa Wahaya na jamii fulani za Uganda ulikuwa imara na maarifa mazuri..
 
Nimepata sehem research inayoonesha yafuatayo
Shuleni
1.Kila darasa ambalo kuna mchanganyiko wa wahaya top three mmoja lazima awe muhaya, we we utakaye changia hapa utakuwa shahidi hata kama huwapendi watani zangu
Fact
.Best student udsm 2005 - Benson kagashe
. Best student 2009 Mr denice byarushengo
. best student udsm 2014. Mr William pascal
. best student coet udsm 2015 mr Almachius Kahwa.

Mifano midogo tu, katika miaka 20 iliyopita chuokikuu kikubwa udsm kimepata best student kabila LA wahaya 12 ,

International organization
1. Texas power chief operations - Wellington kamala
2. IMF africa representative - Delphine rwegasira
3. Rweyemamu prize , a prize established by Harvard university for higher scorers, this was due to high performance of Justinian Rweyemamu. Father of Tanzania economics who influenced jakaya kikwete and lipumba to be economic scholars
4. James kateka from bukoba, general chairman of lawyers in the world, scholar Harvard university,
5. James rugemalila general manager of VIP engineering, academician,
6. Florian rugambwa the first bishop and cardinal in africa
7. Fr. Fidon Mwombeki chairman of UEM ( kiongozi wa kanisa la Lutheran dunian)
8. Babyegeya mutegeki , member of board of nuclear , USA
9. SIR GEORGE KAHAMA, the only sir in africa , alitoa ushauri positive kwa malikia akampa u sir


NDANI YA NCHI
KILA TAASISI YA SERIKALI NA BINAFSI ,

Maprofessa na wahadhiri wa vyuo vikuu
Wahaya kadhaa wamefundisha vyuo vikuu mahiri duniani
Mfano
A. Harvard university- Justinian Rweyemama 1970's
B. Mwesiga baregu , kabla hajarudi Tanzania alikuwa Harvard university,
C. Fransis Kateka Oxford
D. Prof kaijage , University of Birmingham
E. Mark rweyemamu director of GALv

Pia general education forum imeeleza idadi ya maprofessa w tanzania kuwahi kutokea ni 386 mpaka mwaka 2013
Mparofess 172 walitambulika kutoka kagera Bukoba direct , achilia mbali ambao hawakutumia majina yao mengine, na kati ya hao 172 , maprofesa 150 walitokea Tarafa ya kiziba,

Kwahiyo sehem nyingine za Tanzania zikawa na hao waliobaki

Kabla ya kuja kwa wakoloni mkoa kagera ulikuwa na shughuli zake za bunge zilizoendeshwa katiks wikaya ya Bukoba mjini, halikuitwa binge direct ila ilikuwa ni vikao vya wakama kila mwezi vinaendeshwa sehem inahitwa ACHEMBA rwamishenye, watu wakule wanapajua, vikao vimeendelea mpaka mwaka 1963 nyerere akaona vitachanganya wananchi akafuta, lakini wakolon walishangaa kuona shughuli za bajet, sheria na uchaguzi wa viongozi vikifanywa kama wakivyokuwa wanafanya ulaya, hii wamesema wameiona kwa wahaya na wakikuyu, ambapo machief watarafa saba wanakutana kufanya kamati mbali mbali.

TAASISI ZA SASA
-katika taasisi 10 manager 4 ni wahaya
TPB- leticy Rutashobya mkurugenzi mkuu
TPA - mwanasheria mkuu mr Rugazia
TFF- Dionize malinzi
TIC- madam Kairuki( katumbuliwa juzi)
NIC - Israel kamuzora
UDSM- prof mukandara
CRD- Consolatha ngimbwa general manager
NBC : Pius tibazarwa MD
TTCL: Kamugisha kazaula
UHAMIAJI: MR mikinga

Mashirika yapo mengi hawa watu wanachomekana au wanasifa husika?

Najua uko kuna wengine mnawajua wawekeni hapa tudhihirishe kama aliyeandika kitabu cha HAYA THE MOST INTELLIGENT PEOPLE IN AFRICA FOLLOWED BY KIKUYU IN KENYA

Wanaoelewa zaidi mwaka 1965 mwalimu nyerere akaamua kupandisha passmark makusudi kuwa ili uchaguliwe kwenda secondary ilibidi uwe umepata alama 120 kati ya 150 , isiwe chini ya hapo maana shule zilikuwa zikijaa wahaya, hii nimeipata kwenye library hapa kwetu Mara ,

Wakati watu wengine kama Dodoma MWENYE marks 65 kati ya 150, anaenda bila shida, akikumbana na yule mwenye 120 yaan karibia Mara mbili yake ilikuwa inakuwa hatari sana , kila wakati utasikia mwanafunzi wa kwanza
- Rutashobya
- Rutatinisibwa
- Rugaimukamu
- Buberwa

Na wengine kwakuwa feather weight inashindana na heavy weight ,
Professor Mark Rweyemamu - GALVmed
Obituary Prof. Kami S.P. Rwegasira, PhD
Valentine Rwegasira | Duncan Lewis | Immigration Solicitor | Dalston
Rwegasira, D. G. [WorldCat Identities]
Manzi Rwegasira | NMB Bank | ZoomInfo.com

Dar feels the pinch of global financial crisis

Are they intelligent or mabingwa wa kukariri masomo ya darasani?
 
Juzi kati nilikuwa natazama kipindi kimoja kinarushwa ITV kinaitwa "MEZA HURU". Mada ya kipindi hiki ilihusu UBONGO na walimualika mtaalam mmoja ambaye ni daktari bingwa wa masula ya ubongo kutoka Muhimbili.
Huyu mtaalam kwa kabila ni Muhaya.

Mwisho wa kipindi mtangazaji alimuuliza kuwa inasemekana wahaya ndio kabila lenye akili sana Tanzania, je, ni kweli?

Mataalamu yule alijibu ni kweli kabisa na akatoa sababu tatu,

KWANZA, akasema Wahaya wanaishi kando ya ziwa victoria na hivyo wanakula samaki sana ambazo zinawaongezea sana uwezo wa akili.

PILI, Wahaya wanaishi katika eneo la ikweta linalopata mvua ya kutosha na hivyo wanapata vyakula mbalimbali kwa wingi vikiwa fresh.

Na TATU, akasema ni mlo wa senene ambao huchangia sana afya bora ya akili.

Niseme sina ugomvi na vyakula kama hitaji muhimu kwa afya ya mwili na akili, Walakini na mimi niliendelea kujiuliza, Ni kweli wahaya ndio kabla lenye akili sana Tanzania?

Kwa heshima zote naomba nipingane na daktari bingwa yule wa masuala ya ubongo, kuwa SIO KWELI.

Kwanini napinga:

MOJA, Tunayo makabila mengi sana yanayoishi kando ya maziwa, mito, bahari na mabawa ambao nao chakula chao ni samaki, tuna wakurya na wengineo kule musoma, waha, wasukuma, wa ntwara, wapemba, watanga nk. Sasa sioni kwa nini na wao wasiitwe wenye akili sana.

PILI, Jamii za makabila wanaoishi eneo la Ikweta ni wengi ndani Afrika mashariki na kati na haswa katika eneo linaloitwa kitaalam "INTERLACUSTRINE REGION", likijumuisha maeneo yote yanayozunguka ziwa victoria. Sioni kwanini effect ya akili iende zaidi kwa wahaya.

TATU, Mtaalam alisifu ulaji wa senene kwa wana madini ya zinki. Naamini vyakula vingi tu vina madini haya wadudu mbalimbali kama kumbikumbi na mende, vyakula vya mbegumbegu jamii ya maharagwe na karanga n.k. Bado sioni kwanini effect kubwa iende kwenye akili za wahaya.

Nina amini mtaalamu huyu pamoja na wengine wenye imani hii ni kuwa kuwapo kwa Wahaya wengi, katika sekta fulani fulani za kisomi mfano Madaktari, Sheria, famasia, n.k, ni akili kubwa! Asichojua mtaalam huyu labda, nikuwa mafanikio hayo ni matokeo ya sera za kikoloni kuwekeza katika elimu haswa kwa baadhi ya maeneo.

Kila eneo limekuwa na product za aina ya watu kutegemea uwekezaji uliofanyika materially na intelectually.
 
Nakubaliana nawe mleta hoja hasa kwenye paragraph yako ya mwisho. Lakini sikubaliani na huyo mhaya. Kwanza mhaya mzuri ni yule (samahani) aliyekufa.
Mimi hawa jamaa ni watani zangu na hivyo sioni ni wapi wana akili hizo. Hivyo naamini tunawazidi hawa ki akili .
 
Kama aliyetoa hayo maoni ni mhaya then sioni kama Kuna haja ya kuumiza kichwa bali kumpuuza tu! Pride is the mother of arrogance!! Ni mhaya gani kafanya lolote ambalo unaweza sema kwamba,"Huyu mtu kichwa!". Kugundua katerero au?
 
Hili lina ukweli angalia makabila yote yenye uhakika wa kubadilisha mlo penye ardhi nzuri wanaopata vyakula vya freshi wana akili nyingi
Chunguza Kilimanjaro, Kagera, Mbeya, Mara na Wasukuma waliopo Kanda ya ziwa
Mbona mkoa wa Morogoro una sifa ya kusitawi aina nyingi ya mazao lakini sifa hii ya akili haipo kama hiyo mikoa mingine, unadhani ni nini sababu?
 
Kama aliyetoa hayo maoni ni mhaya then sioni kama Kuna haja ya kuumiza kichwa bali kumpuuza tu! Pride is the mother of arrogance!! Ni mhaya gani kafanya lolote ambalo unaweza sema kwamba,"Huyu mtu kichwa!". Kugundua katerero au?
Na Tanzania kama nchi, tukanufaika na kujifunia, kama ni akili za kujitafutia maisha yake na familia tu.
 
Back
Top Bottom